Kununua gari used

Kununua gari used

Magari used mengi ni mabovu
Hayarekebishiki?......hata ukinunua jipya ukalitumia kama sio mtunzaji, litakuwa bovu tu.
Hujaona watu wananunua magari ya zaman kama Land Rover, Peogot na kuyarekebisha?
Muhimu anunue Kwa bei reasonable arekebishe kama Lina tatizo maisha yaendelee. Naamini hakuna gari lisilorekebishika kama utalipeleka kwa Fundi sahihi.
 
Hayarekebishiki?......hata ukinunua jipya ukalitumia kama sio mtunzaji, litakuwa bovu tu.
Hujaona watu wananunua magari ya zaman kama Land Rover, Peogot na kuyarekebisha?
Muhimu anunue Kwa bei reasonable arekebishe kama Lina tatizo maisha yaendelee. Naamini hakuna gari lisilorekebishika kama utalipeleka kwa Fundi sahihi.
unakuta gari gearbox mbovu,engine mbovu Labda uuziwe kwa bei ya kutupa
 
Asilimia za kupigwa ni nyingi, kwahiyo ushauri komaa na Toyota hafu tenga atleast 500k hadi 1m ya service kubwa.
 
Back
Top Bottom