Kumbe kuna watu na viatu. Mwenyekiti wa kudumu wa chadema mbowe leo amesema kua Rais dkt magufuli ndie Rais atakae vunja recodi kwa kukaa kwa kipindi kimoja madarakani. Sababu anazoeleza mbowe ni kwamba Rais Dkt magufuli ni m babe na anavunja sheria na amesababisha maisha ya wananchi kua...
Madawa ya kulevya
KIPEPERUSHI CHANGU CHA DAWA ZA KULEVYA KIMFIKIE RAIS MAGUFULI
Rais wangu mpendwa, Dk John Magufuli. Nimevutwa kuzungumza nawe kuhusu dawa za kulevya, hii ni vita ambayo umeitolea mkazo kuwa kila anayehusika akamatwe, ikiwezekana hata mkeo, mama yetu mpendwa, Janet Magufuli...
*IJUE (MAANA YA) NOTIFICATION (TAARIFA YA KOSA)*
Madereva wengi sana wamekuwa wakiandikiwa notification, lakini bila kujua notification ni nini.
Leo tutazungumzia notification, na kinachotakiwa kufanywa baada ya kuandikiwa notification
*Notification* ni taarifa ya kosa na ndio maana kichwa...
Mh Rais Dr Magufuli Hapa Kazi Tu
Wananchi tunakupenda tunakuamini ingawa hali zetu kila kukicha inakuwa bora ya Jana kwangu Soda ni Anasa ila nawe unajipoza
Binafsi sioni sababu ya kuwachia
Mikutano ya vyama hiki kipindi watawachanganya wananchi wacha watanzania wajengeke kifikra kutafuta bila kuwa tegemezi
Tujikumbushe wakati Lowassa akiwa Waziri Mkuu pamoja na Serikali yake Kuhusu njaa wao waliuficha Ukweli? Tujiulize kichwani kwani hii Serikali inaongozwa na Mtu asiye kuwa na Uchungu na Tanzania? Nimeuliza tu.
Naomba tusimdhihaki Shekh unapo litaja neno Swalaa ujuwe muhusika Mkuu na mwenye uwelewa mkubwa ni Shekh,...Wajibu wake Shekh nikumeelimisha Maamuma wake
Sasa Diamond ni mmoja wa maamuma Shekh anamuhusu.
Diamond hana kosa kwa mtizamo wake ila Shekh analo jukumu la kumkumbusha Maamuma wake kuto mtania mungu ukijuwa Kazi ya Shekh kamwe huwezi kusema Shekh anaingila
Voda nawachukia mnatufull wateja wenu haiwezekani mkatuuzia mb 200 za msimu wa sikukuu kwa sh 1,000 maana uingiapo ktk mb 350 internet inakuwa haina kasi kama ukiwa ktk mb za msimu wa sikukuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.