lakin wakati karamagi anaenda kusain mkataba nakumbuka edo alikua waziri mkuu.
sizan kama kusema ccm ni majizi inasaidia tukubari top layer ya nchi ilikua ni tatizo sumaye alikuwa waziri mkuu wakati hii mikataba inaanza
kwanza nianze kwa kusema nifuraha yangu kubwa sana kuwa mtanzania na kuwa hai siku ya leo na naamini ntakuwa hai muda mrefu sana mbelen ukiacha mapenzi ya Mungu.
kwa sababu kila ninapo lala nataman kesho ifike maana saiz kuwa mtanzania najitanua kifua mbele jaman ni raha kuwa mtanzania maana...
umesoma vizuri tareh ya hiyo barua ineandikwa mwaka huu mwezi wa tano,
kwa nn tusihisi imeandikwa baada ya kuona kwamba the God chosen n blessed president amewashika pabaya.
nina bahati ya kuzariwa na kuwa mtanzania
nacho kijua presdnt anaamin ktk uchapakazi wa mtu, mama mghwila ukimsikiliza anaongea shida zilizopo tanzania na kutoa suluhisho,
kuliko chama kilicho uzwa wao ni lawama tuu kaa mtoto wa kambo hawana jema kila kitu kwao ni tatizo
watanzania ni watu walawama sana sisi tafikiri ndugu wa mume
yaani tangu enzi ya Jk tulilaumu sana huyu jamaa hatufai na ilifikia hatua niwakumbushe kidogo ishu ya vifaa vya uandishi wa daftari la kupiga kura
watu walikuja na statistics kwa hatutaweza kuandikisha watanzia wote ndani ya mda...
ndugu wanajamvi
naombeni kujuzwa jinsi ya kwenda china nina passport na kaela fulan tu kuanzia hapo sijui lolote.
1.ningependa kujua kwa hapa tanzania nifanye nin
2.ni mwez gani mzuri wa kwenda china ambao bei za nauli zitakua chin
3.na ni shirika gani la ndege ambalo bei zake ziko chini
4.kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.