Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Nawapa pole wapiga kura wake maana huko anapinga shughuli zote za maendeleo.
Jimbo limeingia kwenye umaskini wa kurupa kwa ubishi wake usio kuwa na maana.
shuhuli za maendeleo anazopinga Lissu ni pamoja na kuweka mikataba ya madini wazi na kuacha kusainia gizani??