jaman kuna rafiki yangu nwa jinsia moja tu na si kwamba tunaongea sana au kuchat sana au ni marafiki sna kihivyohapana ila unaweza kumtumia labda taarifa fulan au kitu fulan jibu lake ni k jaman sipend na nshamwambia naona ni mazoea tu wengine wapo hivyo
Ninandevu kidevun na kifuan kama dume ni kweli nimebahatika kuolewa yamkini labda ni bahat za midevu yangu lkb sijabahatika kuwa na pesa au utajili labda niache zizidi kuwa ndefu ntapata utajiri
ukiwa na group +B KUPATA UKIMWI NI NGUMU HUYU MTU ANAITWA KELIA,ila anatoa vvu ILI KWA MWINGINE,na haugui mara kwa mara akipima vipimo vinaonyesha invalid kila akipima haioneshi +au - group hili ni zur SANA ILA ATHALI ZAKE NI SIKU AKIUMWA SIRIOUS UGONJWA WOWOTE KUPONA KWAKE NI NGUMU MPAKA MAUTI...
sina muda wa kutoa ushauri hapa mada imekaa kiuongo sana,huwezi from no where kaka yako anayajua mahusiano yako afu akupindue labda kaka jina sio wa damu,pia yamkini hata kaka yako hajui kama ww ulikuwa na mahusiano na kaka yako yy alijua mmezoeana kisa shemejii ,na kama sivyo basi kaka yako nae...
du unanikumbusha mbali sana kuna msiba ulitokea na ktk familia wanamtegemea mtu 1 na mbaya zaidi hakuna msaada wowote ambao anautoa basi tu yy aruhusu wazike loo walikaa wiki nzima mpaka alipofika haa
wala usijali hayo ni makosa tu na yapo hujatenda zambi kubwa ya kufanya umuogope mkeo pia tambua mkeo nae si mwaminifu,nakushauri usimtese mtoto fanya hivi beba mtoto mpeleke kwenu i mean kwa bibi yake ambae ni mama yako alee huko mjukuku na hakikisha unampatia matumizi thabiti,baada ya muda...
watu wana watoto na mpaka watoto wamekua na wakaoa bado mke hajui chezea siri ww labda niamue kusema mwenyewe siri waweza kuifanya ikawa siri kweli usicheze na siri,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.