Mitihani gani kama hii...!

Mitihani gani kama hii...!

Ujumbe mzuri. Tumuombe Mungu awe anatupa ujasiri maana majaribu mengine mazito sana.
 
Somo zuri,,,, hatupaswi kukata tamaa roho ya ushindi inasaidia kufanikisha malengo
 
Darasa zuri kaka..well,kuamua juu ya maisha/mafanikio kupo ndani ya mtu binafsi
Kibinadamu tunapeana pole na kukatishana tamaa ( mf.usirudie tena,ujue ungekufa?) ila kibinafsi ukichukua kama changamoto lazima umwambie Mungu najua ni makusudi yako iwe hivi na kama ninepona najua bado unanihitaji.. Simama,tizama wapi ulipokosea, inaweza isiwe ajali tu...dunia ina majaribu mengi
Unaweza kuanguka kiuchumi na mengine meengi,rekebisha na songa mbele
Hakika utafanikiwa
 
nishasikia the stroy behind the song,jamaa alifiwa na familia nzima..
Mhhh kuna majaribu mengine yasikie tu kwa watu,ukiwa na roho nyepesi yatakushinda..

Last week ilitokea ajali bus la abiria eneo la Kibiti Rufiji wakafa watu saba sita kati yao walikuwa wa familia moja, akabaki hai mama tu you can imagine that situation
 
Wote mliochangia thread hii mmesahau kitu kimoja muhimu sana. Mtu
atakuwa na very strong will na determination ya kufaulu kwenye maisha,
lakini linapotokea la kutokea kama ilivokuwa kwa bwana Mitchel, kiwango
cha huduma ya afya itolewayo kwenye nchi ni muhimu mno.Baada ya
kuburuzwa na gari kisha moto kulipuka, angekuwa anaishi tuseme - Tanzania -
huo ndo ungekuwa mwisho wake na ndoto zake. Motivational stories
zenye kuhusisha kupona ajali kubwa ni stori zifaazo kwenye nchi zilizoendelea
na si hapa kwetu ambapo dawa za kawaida kabisa hazipatikani hospitali.
 
Wote mliochangia thread hii mmesahau kitu kimoja muhimu sana. Mtu
atakuwa na very strong will na determination ya kufaulu kwenye maisha,
lakini linapotokea la kutokea kama ilivokuwa kwa bwana Mitchel, kiwango
cha huduma ya afya itolewayo kwenye nchi ni muhimu mno.Baada ya
kuburuzwa na gari kisha moto kulipuka, angekuwa anaishi tuseme - Tanzania -
huo ndo ungekuwa mwisho wake na ndoto zake. Motivational stories
zenye kuhusisha kupona ajali kubwa ni stori zifaazo kwenye nchi zilizoendelea
na si hapa kwetu ambapo dawa za kawaida kabisa hazipatikani hospitali.

Ni sahihi kabisa SHIEKA lakini bado hatupaswi kujinyima ufahamu kwakuwa maarifa ni chakula cha akili kwakuwa pamoja na huduma zetu mbovu lakini naamini hatutabaki hapa milele
Hii habari nina uhakika imefufua matumaini ya wengi waliokuwa wamekata tamaa na kupoteza tumaini! Imekuwa na positive impact kubwa sana kwa wengi
 
Huyo alikuwa anapitishwa kwenye majaribu kama Ayubu tu, mwisho wa siku amerudishiwa mara dufu. Mungu akikuteua hakuna mwanadamu wa kutengua
 
Yes. alikuwa mwanasheria, alikuwa kafanikiwa sana na ali-invest katika real estate Chicago, Mwaka 1870, aafiwa na mtoto wake wa pekee wa kiume, mwaka 1871, akapoteza mali zake zote kwenye janga lililoitwa 'Great Chicago Fire'.


Mwaka 1873, anguko la uchumi liliathiri vibaya interest zake. Akapanga kusafiri na familia yake kwa meli, baadaye akabadili plan last minute, akaamua kuisafirisha familia yake kwenda Ulaya. Meli ilipata ajali, akapoteza watoto wake wa kike 4, alibaki mkewe tu aliyemtumia ujumbe 'Saved alone'. Alipokuwa anaenda kumfuata mkewe, walipofika eneo la ile ajali, ndio akawa inspired kuandika huu wimbo.

Ila baadae alikuja kupata watoto 3, akahamia Jerusalem ka kuanzisha kundi la kusaidia maskini, lilikuwa kuwa nominated kwa noble prize.

Alikuwa anaitwa Horatio Spafford. Hii story huwa inanibariki sana, hata nikiwa chini kabisa.


nishasikia the stroy behind the song,jamaa alifiwa na familia nzima..
Mhhh kuna majaribu mengine yasikie tu kwa watu,ukiwa na roho nyepesi yatakushinda..
 
Back
Top Bottom