Nisaidieni katika hili

Nisaidieni katika hili

Kuna sababu 2, moja yawezekana ana uvimbe kwenye mirija ya uzazi mpeleke akapime au amwone bingwa wa magonjwa ya akina mama, 2. yawezekana hafanyi mara kwa mara hivyo kupata maumivu kwa sababu mwili haujazoea.
 
Hebu nenda ukajaribu kwa mwingine naye akilalamika juwa fimbo yako ni kiboko theni chukuwa hatua
 
Vijana kwa kukunjana! kuna jamaa aliambiwa mkewe analiwa twende ukashuhudie kwenda kuchungulia anakutwa mwanamke kakunjwa sura haionekani kwa uhakika huku anachokonoa meno na njiti akasema "huyo sio mke wangu mi mke wangu sio kilema.

Hahaaaaaa nimecheka hadi aibuuuuu
 
Back
Top Bottom