Recent content by ndamuro

  1. N

    Askofu Kilaini aitwa Dar es Salaam na Kanisa Katoliki

    Dodoma imetangazwa hivi karibuni kuwa metropolitan pia
  2. N

    Barabara ya Mabatini, Kijitonyama: Nani kala 10%?

    Nyingi ya barabara zinazolalamikiwa zimejengwa na kampuni iitwayo Delmonte T ltd. Kama kuna mtu ana profile ya hii kampuni aimwage hapa jamvini nafikiri majibu mengi tutayapata hapa
  3. N

    Waziri Prof. Anna Tibaijuka apata ajali, yu salama!

    Mleta uzi tujuze hali ya huyo punda tafadhali
  4. N

    Fupi tamu jamani lakini ndefu hakika inakera

    Kwa niaba ya 'TIMU VIBAMIA' nasema ahsante sana.
  5. N

    Financial consultancy.. Msaada tafadhali

    Sawa mkuu. Ahsante pia
  6. N

    Financial consultancy.. Msaada tafadhali

    Ni kweli mkuu kuna uwezekano hapo ndipo pana tatizo. Nitafuata ushauri wenu, asante sana kamanda.
  7. N

    Financial consultancy.. Msaada tafadhali

    Sawa mkuu ntajaribu kutumia hii approach. Asante kwa ushauri.
  8. N

    Financial consultancy.. Msaada tafadhali

    Hapana mkuu huwa nafanya ku drop CV lakini mpaka leo sijapata response
  9. N

    Financial consultancy.. Msaada tafadhali

    Nashukuru kwa ushauri mkuu. Nimejaribu sana kuomba nafasi ktk auditing firms kadhaa lakini response imekuwa si nzuri nafikiri wana prefer fresh graduates.
  10. N

    Financial consultancy.. Msaada tafadhali

    Habari zenu wanajamvi! Mimi ni mwajiriwa kaitika benki mojawapo ya biashara hapa Dsm kama back Officer huu ukiwa ni mwaka wa tatu Kwakweli nimekuwa na ndoto ya muda mrefu toka kipindi nasoma o-level ya kuwa fianancial consultant, sasa kikwazo kimekuwa ni jinsi gani ya kujinasua kutoka ajira...
  11. N

    Msaada Please! namna ya kuwaondoa ngedere nyumbani kwangu

    Uhitaji bunduki, nijuavyo hawa monkeys wanaogopa sana manati. Tafuta manati wapige nayo once then utakuwa ndio mwisho wao kukatiza nyumbani kwako.
  12. N

    Mwanachuo anywa sumu

    Kumbe ni wa Njombe? Haishangazi mana wale watu kujitoa uhai si ishu kubwa..
  13. N

    Kwanini wanawake wengi, hujipendeka sana kwa wanandoa?

    Simple, mwenye nacho huongezewa asiye nacho hata kile kidogo alichonacho hunyang'anywa...
  14. N

    Kwa style hii wanaume wafupi jiandaeni kisaikolojia

    Ni kweli kabisa wanawake wanaangali urefu wa 'wallet' ya mwanaume
  15. N

    baby names

    Kapuya
Back
Top Bottom