Charlie chaplin
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 336
- 314
hivi siku izi mzumbe yalemambo ya kununua cheti hayapo? jamaa alishindwa hata kutoa kidogo
#sometimes being educated may mean nothing#
#sometimes being educated may mean nothing#
Amelogwa hyo...unajua makazini kuna magwagula weng sna,..unatkiwa uwe na upako wakuzuia uchawi..
Disco?!, semester one??!!,tena masters??!! Closer to impossible.
JINGA HILO. KUNA WATU INABIDI WAFE WANATUZINGUA TU HAPA Tz halafu hawafi.Why asingeondoka hata na mmoja? Hata yule mjumbe wa bunge la katiba anayezingua hakumuona?? ARGGGH!!
siyo finance ni economics,,mm namjua huyu mtu kama brother angu,,mm ndiye niliyempeleka fomu za kuomba masterz,,alikuwa ni mkuu wa idara ya mipango katika halmashauri ya kondoa,,na kazikwa kwao jana njombe
kama hiyo ndio sababu basi huyo atakuwa punguwani...kuna kipindi nilisoma interview ya mohammed dewji 'mo',alisema hivi..ngoja nijaribu kunukuu kwa kiswaz coz ilikuwa kwa kimombo...."kuna baadhi ya watu wakiniona hivi nilivyo wanadhani kuwa sikuwahi kupata failures katika maisha yangu.ukweli ni kwamba katika mzungoka wa maisha kuna kipindi ni lazima ufeli kabla ya kufaulu"nadhani huyo belimu haikumsaidia kabisa,hivi amekuwa akipata div 1 tangu aanze kusoma?
Kwa hiyo wewe inabidi ulaumiwe na familia kwa kusababisha kifo cha ndugu yao. Uenda usingempelekea hizo fomu hasingeomba kujiunga na masomo ya masters na hivyo asingejiunga na chuo na tena asinge disco. Unajisikia amani kweli moyoni?
Tiba