Recent content by Ndaghine

  1. N

    JamiiForums Tanzania Orodha ya ndoto (karibia zote) na maana yake

    Wakuu kuota umetokewa na jini ambalo limekuja mfumo wa binadamu yaani mwanamke akiwa na watoto watatu wamenitokea chooni wakati natoka mlangoni na alikua anataka hela na nikampatia hela ya noti akanirudishia chenchi, na tukaongoza kuondoka na kupiga story na kuelekea nisipokumbuka,hi ina...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Ajira kizungumkuti, watu 120,000 wawania nafasi 9,675 zilizotangazwa na Serikali

    Wakala wa vipimo walitangaza nafac 55 waliitwa kwenye interview walikua 955 just imagin uhaba uliopo na hapo kutakua na nafac za watu 10 labda wa viongozi,zibaki 45 ndo mpambanie,daah
  3. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mwamba umeongea fact ya maana sana,sex co kwamba ndo Kila kitu ishu kupata mtu ambae iternal hisia zinaendana before sex and everything,kiukwel unahitaj kua na akil ya ziada kutambua hili unalolizungumzia coz ni wachache sana wanawake wanaojal utu wao kama sio kutoa papuch ili waonekane wanaenda...
  4. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pete ya uchumba ipoje?

    Unamvisha Pete ya hela ndefu 1.2m alaf washenz wanapiga tackel zao kazaa wife anawah kukupikia na amevaa bado Pete,hapo ndo utajua hujui,mi nakumbuka nilinunua Pete ya uchumba ya elf 10000 na box ya Pete ikakamilika 15000maisha yakaenda fresh,all in all acha kutumia gharama zisizo za msingi,kama...
  5. N

    JamiiForums Tanzania House4Rent Nyumba ya vyumba viwili na Sebule inapangishwa

    Kuna jamaa yangu anatafta chumba dable iwe kimara kama unajua mahali vipo nikuunganishe hata kama Ni nyumba yenye vyumba viwil seble na jiko,
  6. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ulimpa max ngap?Ila umeniacha mbal cjawah elewa maana ya bj na hj ,msaada plz naonaga watu wanasema ivo ila cfaham ina maanisha nin!all in all mapenz raha sana
  7. N

    JamiiForums Tanzania Wakuu naomba kujua usahihi Wa hili jambo

    Wrong,kwani kabla ya kuungana si ilikua Tanganyika na Zanzibar so wameungana nchi mbili so kwa uelew wangu ni lazma ikishakua muuungano means ni watu wawili au zaidi so ni jamuhuri ya muungano wa watu wa Tanzania means( Zanzbar na Tanganyka)
  8. N

    JamiiForums Tanzania Wakuu naomba kujua usahihi Wa hili jambo

    Mbona huweki mzee,Ila uhalisia ni jamuhuri ya muungano wa tanzania
  9. N

    JamiiForums Tanzania Mitandao ya kijamii WhatsApp, Facebook na Instagram ilitoweka hewani, yarejea tena (19/03/2021)

    Hapa tunduma naona Kila kitu hakifanyi kazi ,mitandao you're kasoro jf ila na yenyewe ipo slow sana
  10. N

    JamiiForums Tanzania Yajue Majina ya Ukoo Katika Makabila mbalimbali Tanzania

    Kina kondo ni watu wa wap? No ukoo gani
  11. N

    JamiiForums Tanzania Songwe, Mbozi: Wakazi wa Ichenjezya Mama hawana barabara, Waiangukia Serikali iwasaidie

    Sio Jimbo la Silinde Hilo,Ni la Hasunga
  12. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kaenda Night Club na mkewe kaishia kugongewa humo humo

    Apandacho mtu ndo huvuna,amepata alichostahil,ushauri wa bure tuu,kama unakunywa pombe na upo na mke wako sehemu za starehe hakikisha wewe kama mwanaume hunywi kulewa, lkn pia hakikisha unakaa sehem yenye nafasi ikiwezekana mkae kwa meza yenu wenyewe na oia uwe umeandaa mazi gira ya usafiri kama...
  13. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, kishika uchumba na Mahari yangu ni busara kama itarudishwa?

    Ukimaliza kuandika nitag
  14. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania From nowhere nimetumiwa na mke wangu hii text

    Inaeza kuwa real kakukumbuka bt asilimia 90 za akili yangu inaonesha utamaduni wa kutumiwa text za hivo haupo so labda kakosea alikua anatuma kwa mabaharia,all in all don't trust hawa viumbe mwamini kwa asilimia 2 kati ya 100,kingine mapenzi ya mbali sio mazuri hasa kama huyo ni mkeo na una ndoa...
  15. N

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Jamani mi naomba kurudishwa taarif 4 nanunua umeme wa elf tano unit 14msaada tafadhal mnibadilishie,matumiz yangu mi ni madogo sana cna jiko la umeme ,nna friji tv redio bac naombeni msaada,nliwahi pia tuma ujumbe hapa lkin cjawai jibiwa
Back
Top Bottom