Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba,
Ali Omar Juma, amesema hatua ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kueleza kuridhishwa na utendaji wa Bunge hilo wakati hakuna mwakilishi aliyechaguliwa kwa kura na wananchi wa Pemba, ni kubariki Pemba kuwa nchi inayojitegemea.
Juma ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama...
Angekuwa anaitwa JUMA kimsingi angeitwa GAIDI. Lakini huyu kwa vile ni JOSEPH, hautasikia hata siku moja na kundi lake la LRA kuitwa magaidi. The world is not universal.
Binafsi niliishia darasa la tatu tu, mwezi Aprili 1989, ila sijutii kuacha shule. Degree ndio nini? Ina mchango upi mkubwa ktk maisha halisi ya mtaani? Si wapo wengi, kuna lipi kubwa la maana wengi wao wanalofanya kwa faida ya jamii? Si madudu matupu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.