Nakushuru sana kwa namba ya simu uliyotoa, lakini kila ninapopiga iko busy. Nimetuma ujumbe nao bado haujajibiwa.
Members, bado ninauhitaji sana wa mbegu hizo na abc za upandaji au ulimaji wa Korosho kama nilivyoeleza awali. Bado tumaini langu la kusaidiwa katika jukwaa hili ni kubwa.
Asante.
Nina shamba langu la hekari 50. Lipo Rufiji. Nataka kulima Korosho. Naomba nisaidiwe namna ya kupata mbegu bora na jinsi nitakavyozipata. Nimebahatika katika mtandao kupata mwongozo toka Bodi ya Korosho. Taarifa nilizoziona ndani yake ni pamoja na kwamba mbegu bora zinapatikana Naliendele...
Jukwaani tafadhali nawaomba nisaidieni namna ya kuzuia mtu asinipigie kwenye mwito wa simu wa kawaida. Upande wa WhatsApp sina tatizo napo, lakini mwito wa kawaida wa simu sifahamu hatua zinazochukuliwa ili kuzuia mtu asikupigie.
Nawasilisha nikiwa na matumaini makubwa ya kusaidiwa katika hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.