IMTU waliochaguliwa hapo utaratibu uko vipi

IMTU waliochaguliwa hapo utaratibu uko vipi

Nchoji

Member
Joined
Jul 9, 2013
Posts
49
Reaction score
17
Naomba kujua waliochaguliwa mchakato uko vipi na majina yao yapo katika tovuti ya IMTU?
 
kumbe watu wameomba imtu bado mmmhhh
naomba unijuze kina tatizo gan coz mwenyewe nli apply hapo ila ckupata kwa mapenz ya mungu nashukuru. ila naskia kuna sku kilifungwa coz kilipokea wanafunz moja kwa moja bila tcu pia naskia walitupa maiti so ikazua zenge sana miaka michache iliyopita. nini tena tatizo jingine ukitoa isshu ya uklubwa wa ada?
 
wasomi wasioerevuka,mnaishi kwa historia pumbavvvvv!
 
Chuo hakina tatizo lolote wadau wala tusihofiaa mm ni mmoja wapo nimechaguliwaa hapo hayo matatizo yalisha kwishaa asaiv ni fresh kabxaa hakuna tatizoo ww unaesema chuo hakifaii kale ndimuu
 
Back
Top Bottom