Wakuu, hapa pameniwea pagumu kuelewa. Lakini naamini katika jukwaa hili, wapo watu waliobobea na waelewa historia ya biblia kwa kiwango cha juu mno kisicho na shaka.
Biblia ninayoisoma inataja Yusufu mwana wa Yakobo aliyeuzwa na ndugu zake utumwani Misri (Mwanzo 37:2-36)
Vilevile, inataja...