Usidhani akikuambia hivyo anakupnda anakupiga mzinga ili usimsumbue mie pia nikiona mtu msumbufu nampiga mzinga tena nyie mna bahati mnaombwa hamsini mie pesa hiyo Ni ya mafuta ya gari naweza kuimudu kuipata kwa cku naanza Na m . Ili usinijazie contact
Really anaonekana anapenda kujisifia na wanawake wengi hatupendi sifa sifa hasa kitoka kwa man wako na hatupend mwanaume anayeingea ongea tu hovyo so uyo mkeo alikimbilia ndoa hakufanya uchunguz wa tabia zako kama ataziweza au la!! Ni tabia ndogo ndogo bt zinakera
Mbona wanawake wapo wengi wenye mapenz ya dhat jamni y mdogo wake utasababisha ugomvi ambao unaweza kuleta mauaji ni bora umwachie nyumba utafute mwanamke mwingine
Kusema kweli dada ajampnda jamaa make na mie nina mtu kila akikumbushia ombi lke namwambia asubili ctaki kumpa jibu la hapana ili asijisikie vibaya so namvutia mda ili ajiongeze
Tafuta hela kaka kwani una hela Za kutosha hadi uumize kichwa kwa sabbu ya ndoa mungu atakupa wa kufanana na wewe lakini kama we mwenyewe maisha yako ya kuunga thn unataka mke alafu umri bado sanaaa
Ki ukweli uyo wokovu wake una mashaka y atake kumuua kijana wa watu ndoa kitu gani kaka mwambie vaa kiatu chake ila mwambie kiume sabbu uwezi kujua anampnda vipi na mapenz ni upofu unaweza kumwambia akamsimulia dada yko ukawa ugomvi na wew
Kwanza Huawei uwezi kuilinganisha na iphone six plus hata cku moja pili umeanza na sim ya gharama sana kama ndiyo ilikuwa smartphone yko ya kwanza ulitakiwa uanze na Huawei y 360 ili ujue ni Jinsi gani ya kutumia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.