Sina bahati ya kupendwa

Sina bahati ya kupendwa

Mmmmh hebu badili mtizamo wako juu ya hilo na everthing ll be okey, ni bora uchelewe kuoa kuliko ukurupuke the uje ujutie maisha yote.

Hebu forcus kwanza kwenye kujijenga kiuchumi, kujiweka karibu na Mungu na usikurupuke kuanzisha mahusiano, wakati ukifika kila kitu kitakuwa poa, alafu tafuta size yako(mnayeendana)

asante kwa ushauri wako mkuu nitaufanyia kazi ushauri wako.
 
Habari zenu wakuu, kwa ufupi ni kwamba tangu wazo la kutaka kuoa linijie nakosa mchumba ambaye yupo siriazi na maisha, umri wangu ni miaka 32 nimeona umri unaenda nami nahitaji kuwa na familia kama vijana wengine,.

Tangu mwaka 2012 wazo la kuoa lilinijia na mpaka sasa nilishapata wachumba 9 ni mmoja tu ndio nilisex nae. Wapenzi hao wote waliniacha kwa sababu mbali mbali kama umri, kwenda kusoma, usaliti n.k .

Kwa sasa nahitaji mke ila sipati na nikipata ni wale wasio na malengo yani wachunaji.

Nifanyeje wakuu au kuna mahali nakosea?

Vipi mkuu tangu ulipoweka hili tangazo ushapata viPM PM kama vingapi hivi vya wanaotaka ndoa?
 
Dini yako tofauti nngekupa msaada
 
nadhani hujawa tayari....angalia kwa makini unapotaka kuoa...mbona wa kuoa wapo wengi tu wanataka...ishu muendane pasion, intimacy commitment iwepo
 
Upendwe umekuwa hela Mkuu. Mie naona napenda hela tu.
 
Ishi na furahia maisha.
Miaka 32 bado sana.
Hadi miaka 45 unaweza kuoa.
 
Tafuta hela kaka kwani una hela Za kutosha hadi uumize kichwa kwa sabbu ya ndoa mungu atakupa wa kufanana na wewe lakini kama we mwenyewe maisha yako ya kuunga thn unataka mke alafu umri bado sanaaa
 
Habari zenu wakuu, kwa ufupi ni kwamba tangu wazo la kutaka kuoa linijie nakosa mchumba ambaye yupo siriazi na maisha, umri wangu ni miaka 32 nimeona umri unaenda nami nahitaji kuwa na familia kama vijana wengine,.

Tangu mwaka 2012 wazo la kuoa lilinijia na mpaka sasa nilishapata wachumba 9 ni mmoja tu ndio nilisex nae. Wapenzi hao wote waliniacha kwa sababu mbali mbali kama umri, kwenda kusoma, usaliti n.k .

Kwa sasa nahitaji mke ila sipati na nikipata ni wale wasio na malengo yani wachunaji.

Nifanyeje wakuu au kuna mahali nakosea?

ukiona hayo ujue hata wewe haupo serious na unachofanya, hata nngekua mim npo na wewe na haupo serious ningekuacha tu......
 
Habari zenu wakuu, kwa ufupi ni kwamba tangu wazo la kutaka kuoa linijie nakosa mchumba ambaye yupo siriazi na maisha, umri wangu ni miaka 32 nimeona umri unaenda nami nahitaji kuwa na familia kama vijana wengine,.

Tangu mwaka 2012 wazo la kuoa lilinijia na mpaka sasa nilishapata wachumba 9 ni mmoja tu ndio nilisex nae. Wapenzi hao wote waliniacha kwa sababu mbali mbali kama umri, kwenda kusoma, usaliti n.k .

Kwa sasa nahitaji mke ila sipati na nikipata ni wale wasio na malengo yani wachunaji.

Nifanyeje wakuu au kuna mahali nakosea?

Kama hauna bahati ya kupendwa basi juwa unabahati ya kuchukiwa,wenzako hawana bahati ya kupendwa wala kuchukiwa yaani hawanabahati kabisaa
 
tatizo lako upo desperate unataka ndoa mkuu...
tengeneza foundation ya mahusiano kwanza afu ndoa itafata.. umri haujalishi ndoa ni mikiki mikiki mkuu ko tafuta mtu anae match na wewe anzia step ya chin kabisa urafiki msome mtu afu ndo ivyo vya mapenzi vianze la si ivyo we utaangukia pua kila siku

Eti.... Hii ni kwa WANAUME TU?
Au kote?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom