Kama kuna kitu tulikosea ni, kuruhusu Wasomi hawa wakubwa kuingia kwenye siasa, Tanzania siasa ina watu wake na si wasomi, kwa hiyo wasomi wanapokuja huku wanamezwa na siasa nao wanakuwa wanasiasa, usomi hauna nafasi, fuatulia kwa makini toka saga za mikataba ya madini, miradi ya yote mikubwa ya...
Sasa jukumu la kuwahudumia hao wanafunzi ni la nani?? Unaongea vitu kama haupo hapa nchini.....hv wabunge katika nchi hii na serikali nani ana wajibu kuwahudumia wananchi kama wajibu wake??
Mnakosa hoja mnatetea ujinga, nchi hii ina laana kubwa sana, watu ni vipofu mpaka hawajielewi, watu wana...
Kifupi hapa ndipo Watanzania wengi wanapotoka, kwa sababu....waandishi wa habari wamekuwa watu wa kawaida sana kinyume na taaluma zao!
Si vibaya kuwa na opinion kama ile,lakini Bin Zubeiry ameangalia sana biashara kuliko weledi kwa kukubali udhamini wa Hans Poppe na Bakhressa!
Kwa mantiki ya...
Hakuna mtu mjinga duniani kama anayeshabikia dini, ila Mungu atambariki anayeabudu na kuheshimu maagizo ya Mungu!
Hakuna sehemu waliyopona kwa kushabikia dini, watu wanawehuka tu vita vyote vya dini hudumu kwa muda mrefu! Kuna watu Tanzania wana hamu sana kuona hiyo hali wakijiamini wanaweza...
Unatakiwa kumfanya mpenzi awe rafiki yako, maana ukishakuwa unaishi na mpenzi kama marafiki kila kitu kitaenda sawa!
Lakini kumbadilisha rafiki yako kuwa mpenzi, wengi jibu mnalo.....sana sana mtaishia kuwa maadui!
Utasaikia, "yule kaka alikuwa rafiki yangu sana....nashangaa baada ya muda...
Kaka, mbona kama unaleta sinema!
Kwa mtu ambaye yanayemtokea hayo, katika hali ya kawaida sikutegemea uishie hapo, yaani kama unatusikilizia hv......tunafuatiliaje!
Kaka ni hv, asilimia 100 huyo ana cheat!
Kosa kubwa ulilofanya ni kumwacha na hyo tabia ndani ya ndoa lakini bado hujachelewa!
Watu wanapotosha ukweli, hakuna mwanaume anayeweza vumilia mkewe awe ana private issue au simu yake iwe na password nyingi hivyo, unless unamchukulia huyo kama...
Binafsi nadhani jamaa ana points, na sidhani kama ni kundi la kina Tuntemeke hata kama ni mmojawapo lakini amekuja vizuri! Lakini suala la kujiuzulu Slaa siafiki hata kidogo, ila nachojua kwa namna yoyote ile hizi scandal zitaharibu staha ya chama!
Mimi concern yangu ni kwa Watz, wengi wao si...
Tatizo kubwa la Tanzania, watu hawapendi facts hata wawe wana elimu vp! Watu wamejaa ubinafsi hawapendi kukosolewa! Kuna mtu hapo anajohi kama Shaffih kapita shuleni, kwa wale wanaomjua wanaona kabisa mtu ukijohi hivyo una chuki binafsi! Hata kama angekuwa hana elimu, tunatakiwa kuchambua...
Huwa nachekaga sana watu wakitakaga ushauri wa mapz,
coz mara nyingi watu hawaamui kama wanavyoshauriwa bali
hufanya vle mioyo yao inavyowatuma.
Mi nakushauri jiridhishe kwanza huyo jamaa kama hana
mtu, kwa nn? Inawezekana naye ana mtu sema kafurahi kuona kwamba
nawe una mtu so hutamsumbua...
Japo hujawa specific wapi hzo sheria zinatumika,
lakini jua kwamba sheria hazimtoi kuwa mwanamke na huyo
anaweza kubebwa hata na mtu asiye na darasa hata moja na sheria
zake kichwani.
Hao ndugu kuna kitu wanaficha tu, siku zote mahusiano
yana fall na nature ya two sex, wanawake siku zote lazima...
WatMi mgeni humu inaonekana mnajuana sana,
Lakini mi nadhani mwanamke kawaida huwa anavutia m'me,
so urafiki kati ya m'ke na m'me mara nyingi huwa either m'me
ametoswa halafu akaamua kuendelea kuwa rafiki akisikilizia
labda ipo siku itakuwa poa ambapo hii huwa mara chache sana
mara nyingi demu...
The thing that you dont know, watu hawapendi waheshimiwa watu wanasikiliza
nini CDM wanasema, Slaa, Mbowe, Zitto sio issue watu wanaangalia nini kinachosemwa na hwa watu!
Yaani baada ya kuyafanyia kazi yanayosemwa, mnaanza ku attack mtu mzinifu,
hv South Africa si inaongozwa na mzinifu tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.