Kama kuna kitu tulikosea ni, kuruhusu Wasomi hawa wakubwa kuingia kwenye siasa, Tanzania siasa ina watu wake na si wasomi, kwa hiyo wasomi wanapokuja huku wanamezwa na siasa nao wanakuwa wanasiasa, usomi hauna nafasi, fuatulia kwa makini toka saga za mikataba ya madini, miradi ya yote mikubwa ya...