Recent content by navinama

  1. N

    Magari ya abiria Mbeya yagoma

    Madreva wa coster wanataka kuiweka serikali yetu mfukoni kama wauza mafuta ya ptroli walivyo iyumbisha nchi.,kinachotakiwa watii sheria kama zambia abiria wanne wa wanne na kondakta ana siti yake.sasa wakwetu wanashindwaje?
  2. N

    Sumaye: Rais ajaye apambane na madawa ya kulevya!

    Ni unafiki uliotopea mseme na huyu anayekuongoza hizo ni kampeni za kuusaka uraisi2015
  3. N

    Mwigulu Awaonya Wanaoshabikia CHADEMA Iramba

    :kev:Mwigulu lameck nchemba namjua vilivvyo nimechunga nae ng'ombe amewahi ugua ugonjwa wa pepo punda, kwa mda mrefu sana mpakaalitaka kuwa taahira.Kwa hiyo ndugu wapenda amani kauli yake isiwashangaze sana akili yake niya kipunda punda tu:help:.
  4. N

    Watanzania wakataa siasa za Mwigulu Nchemba

    huoni matokeo wewe wa wapi
  5. N

    Msafara wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda wapata ajali mbaya

    saa ngapi na wapi anahaligani tujuze tafadhari
  6. N

    Somo la CHADEMA Arusha CCM limewaingia?

    Tumetia aibu ya mwaka kwenye uchaguzi wa madiwani arusha,mimi ni mkeleketwa wa chama changu c,c,m. Kwa aibu hii chonde kusudi tusije angukia pua 2015. Natoa ushauri ufuatao kwa mheshimiwa kikwete.1.kusalimika kwa chama chetu muondoe mwigullu nape wassira nikwazo kwa usitawi wa chama chetu.Mbona...
  7. N

    Maryrose Kalage ajivua gamba na kuingia ndani ya CHADEMA - Julai 13, 2013

    :kev:kwa uamzi huo nitumie namba yasimu nikutumie japo salio sisiter umeona mbali
  8. N

    Maryrose Kalage ajivua gamba na kuingia ndani ya CHADEMA - Julai 13, 2013

    Hongera dada yangu kwa uchaguzi makini na wengi watakufuata japo wanaona aibu.
  9. N

    Laptops mpya

    Nitaipateje?
  10. N

    Wassira na ndimi mbili!

    Tumemzowea hana lolote wasira :kev:mbowe kasema anaushahidi tunautaka huo ushaidi uwe wazi kimataifa sio polisi wajichunguze. kwakuwa ndiyo mtuhumiwa namba moja, kwanini wasira na serikari yako mnakuwa waoga kunanini hapo?:nod:
  11. N

    Hivi nikwanini watu hupenda kutumia sehemu za siri za wanawake kutukana

    yote hayo ni kwa kuwa kila mtu katokea hapo ndiyo maana nirahisi kupatukana ..
  12. N

    Anatafuta mume wa kumuowa huyu bibie jamani wanaume mupoooo

    nimempenda ntindi nimepatikana wa kumuoa tuwasiliane msimnyanyapae kwa maumbile yake.
Back
Top Bottom