Madreva wa coster wanataka kuiweka serikali yetu mfukoni kama wauza mafuta ya ptroli walivyo iyumbisha nchi.,kinachotakiwa watii sheria kama zambia abiria wanne wa wanne na kondakta ana siti yake.sasa wakwetu wanashindwaje?
:kev:Mwigulu lameck nchemba namjua vilivvyo nimechunga nae ng'ombe amewahi ugua ugonjwa wa pepo punda, kwa mda mrefu sana mpakaalitaka kuwa taahira.Kwa hiyo ndugu wapenda amani kauli yake isiwashangaze sana akili yake niya kipunda punda tu:help:.
Tumetia aibu ya mwaka kwenye uchaguzi wa madiwani arusha,mimi ni mkeleketwa wa chama changu c,c,m.
Kwa aibu hii chonde kusudi tusije angukia pua 2015. Natoa ushauri ufuatao kwa mheshimiwa kikwete.1.kusalimika kwa chama chetu muondoe mwigullu nape wassira nikwazo kwa usitawi wa chama chetu.Mbona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.