Sumaye chunga sana!hata kama ni haki yako Kikatiba utashangaa ukikatiwa mrija wako wa posho na stahiki!sijui utapiga kelele au utakimbia nchi?usichezee walioshika mpini!nakushauri tu maneno mazuri sana hayo lakini watawala hawatayapenda!watakusambaratisha!unaweza kuwa mzalendo mzuri sana ila tunakuonea huruma!wakijibu hao na wapambe wao itakuwa tabu!
Kwa nini unahubiri woga?
Natumai Sumaye amekuwa Waziri mkuu anajua zaidi nini kinaweza tokea !
Tatizo naloliona mimi ni kuwa kama assumption ama tuhuma si za kweli basi ni kosa kubwa ...ila kama ni kweli Fear Not.....Unatakiwa usiogope chochote zaidi ya kuogopa uwoga usikukumbe....