Tangia leo asubuhi hakuna coaster ndani ya mkoa zinazofanya kazi. madereva wameamua kupaki magari pemben huku wakidai kuonewa na traffic na sheria wanazodai kandamizi za SUMATRA.
Mi mwenyewe nilitoka Tukuyu kuja jijini kwa usafiri binafsi. Aidha abiria wameamua kutumia malori kusafiri ndani ya mkoa yaani Tunduma, Tukuyu Kyela nk.
Mi mwenyewe nilitoka Tukuyu kuja jijini kwa usafiri binafsi. Aidha abiria wameamua kutumia malori kusafiri ndani ya mkoa yaani Tunduma, Tukuyu Kyela nk.