Recent content by Navegante

  1. Navegante

    JamiiForums Tanzania Punguza mazoea kazini

    Sehemu za kazi unafiki ni mwingi sana,tekeleza majukumu yako rudi nyumbani.
  2. Navegante

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kufanya mapenzi na wanawake au wanaume wawili kwa wakati mmoja?

    Hongera sana kiongozi. 🫡
  3. Navegante

    JamiiForums Tanzania Msaada: Natafuta chumba kimoja chakupanga kiwe self contained Arusha-Njiro

    Wakuu habari za majukumu ,natafuta chumba cha kupanga kiwe self contained, kiwe na jiko na pia mazingira yenye usalama kwa maeneo ya Arusha-Njiro road kikipatikana mpaka maeneo ya kontena itakua vyema zaidi kwa bajeti ya 80,000-100,000.
  4. Navegante

    JamiiForums Tanzania Maisha yanasikitisha at the same time yanafurahisha..

    😂😂😂
  5. Navegante

    JamiiForums Tanzania Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

    Aisee katika maisha mapambano ni mengi sana,tusikate tamaa👊
  6. Navegante

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Just imagine

    Ni suala la muda atarudi kukutafuna,huwezi kujisimamia🚮
  7. Navegante

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwizi wangu namjua, nipeni mbinu za kumkamata

    Ukitaka kula,kubali kuliwa😂😂
  8. Navegante

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Inauma sana. Leo amenitamkia wazi kuwa simridhishi na hajawahi kuridhishwa

    Akikudharau utapungukiwa nini?
  9. Navegante

    JamiiForums Tanzania Hadithi ya kweli ya maisha yangu

    Aisee ninekumbuka mbali sana,enzi hizo mdomo wa furu,jamaica mocas,mbio za vijiti ilikua ni balaa,hao jamaica mocas walinidaka kona ya nyasho jioni ilikua balaa.
  10. Navegante

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni mimi peke yangu sipend kupostiwa ama?

    Kama haikuketei shida yanini kuhangaika nayo,mwache afanye kitu roho inapenda.
  11. Navegante

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mara ya kwanza kuwa na Uhusiano na Msichana wa Kitanzania. Tulishangaana sana. Ila alichofanya siwezi sahau

    Siyo unakaa na mtu amekula vyakula vya mitaani anajamba inatoka harufu kali. So akawa anapewa chakula special.😂😂
  12. Navegante

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Hivi sasa ni saa 9 Alasiri,huyu Khumbu huyu huko chumbani tena🙌
Back
Top Bottom