Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
Mupenz wangu huwa ananipost sana ..nmemkataza asinipost instagrm ila ananipost sana whatsp..sasa dah
Imekua mwiba hii ishu...sjaelewa lengo lake...
Mi huwa nna mawazo mabaya kwel..sometime nawaza tu kijinga kwamba anapost ili ajijue yuko peke yake ama nin
Ili kwamba hata kama mwingne agonganishe magar ama
Nmemwambia mi nmeacha tabia hzo haelew
Mim sipend kupostiwa jaman dah..naona utoto flan hv...hyo valentine sasa ndo ilikua kama picha zmeungana yan..yaan ni kama mstar wa status...
Kiukwel nmekereka ..ila sasa bint mwenyew nashindwa hata react maana atajiskia vbaya maana amekufa ameoza..nalijua hlo
Dahh..mitihan hii
Uzi tayar
Imekua mwiba hii ishu...sjaelewa lengo lake...
Mi huwa nna mawazo mabaya kwel..sometime nawaza tu kijinga kwamba anapost ili ajijue yuko peke yake ama nin
Ili kwamba hata kama mwingne agonganishe magar ama
Nmemwambia mi nmeacha tabia hzo haelew
Mim sipend kupostiwa jaman dah..naona utoto flan hv...hyo valentine sasa ndo ilikua kama picha zmeungana yan..yaan ni kama mstar wa status...
Kiukwel nmekereka ..ila sasa bint mwenyew nashindwa hata react maana atajiskia vbaya maana amekufa ameoza..nalijua hlo
Dahh..mitihan hii
Uzi tayar