Nibora ukawashauri kuliko kutokwenda kumwabudu Mungu, wanadamu wasiwe kikwazo kwako Na ukatoe kile ulicho nacho sio kuangalia wingi wa sadaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Udom hawahitaji watu kujenga msikiti hapo bali unaomba chumba Kwa ajili ya Sala, mbona hata makinisa mengine wanafanya hvyo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.