alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Naona leo si haba!
Taarifa za Maalim huku Bara na huko Visiwani hakika leo mumezitendea haki.Matukio karibu yote ama ya Seif alivyozungumza na vyombo vya habari na huko Zanzibar pia namna wafuasi wa Seif walivyo amua kumfuata Kiongozi wao huko ACT.
Hakika leo mumechangamka!
Taarifa za Maalim huku Bara na huko Visiwani hakika leo mumezitendea haki.Matukio karibu yote ama ya Seif alivyozungumza na vyombo vya habari na huko Zanzibar pia namna wafuasi wa Seif walivyo amua kumfuata Kiongozi wao huko ACT.
Hakika leo mumechangamka!