Recent content by Natty Bongoman

  1. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania ZILIPENDWA TANZANIA - quality bomba, remastered by Natty Bongoman

    https://youtu.be/KEEW8nhk8_U?si=geGrPobTxAwDZSEP https://youtu.be/8pR_x65XLLU?si=uXwV9kty78na-NPA
  2. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania ZILIPENDWA TANZANIA - quality bomba, remastered by Natty Bongoman

    ntasaka part 3 soon... karibu https://youtu.be/ENsix94VWzo?si=bFNdMvyL7ImeKmyU https://youtu.be/QaHRgqVbO3o?si=Lh4h9n_mKEB0DMN6
  3. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Indeed, umejilenga Mtandaoni Darwinism ipo na wala si memes... study more or peruse internet manake wabatwuka mno na kejeli zisizo na msingi wala wa kielimu
  4. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    dumdum
  5. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Elon Musk: China inavutia sana. Ninawahimiza sana watu kutembelea huko

    Swali muhimu mkuu. Si ndo hawa hawa wachina wamagharibi waliponda na propaganda kibao duniani eti ukomunisti unakandamiza kikaenda kikarudi, hadi kuunda duniani itikadi kuu mbili - ubepari na ukomunisti. Leo hawa wakomunisti ni matajiri dunia nzima umma ukifaidika na kukua kimaendelea kila...
  6. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Elimu potofu ya mzungu - Darwinism
  7. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Sasa mkuu hapo nitakuwa nachukua nafasi ya Mungu kufafanua tusichokielewa kiundani... ila cha msingi kwangu huku kutegemeana ni dalili za intelligent design.
  8. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    NDIO kile tusichokielewa kwa nini kinafanya kazi na hata wanasayansi kabambe hawana uwezo wa kuelewa ni ushahidi tosha wa nguvu kubwa kuliko sisi imehusika - Mungu. Na ndio ni ushahidi kwamba kilipangwa na si bahati mbaya. Intention ya hiyo design ilikuwa tuendelee kuishi bila kuishiwa hewa ya...
  9. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Je umeliepuka swali langu? contrast kuhusu kupumua kuwa ni intelligent design? Pointi yangu ni kwamba huu mfumo si bahati mbaya bali tokeo la intelligent design. Na recycling ya sisi kutegemeana na mimea ndo ushahidi. Unahitaji nn zaidi? Unachobisha ni kwamba sio intelligent design...
  10. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Mkuu, binafsi, huku 'kutegemeana' ka ulivotamka, ni muundo wa kiakili flani - na ndo ushahidi, kwa sababu sayansi imeweza kutuambia mfumo lakini haijaweza na haitaweza kutuambia kwa nini mfumo uko ivo. Sidhani utaweza pia. Sasa unaposema ni kwa sheria... sheria za nani? Pia mkuu, tafakari dini...
  11. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    kwa hiyo - kwako wewe - recycling ya hewa tunazopumua sisi na mimea na matokeo ya bahati mbaya na sio intelligent design???
  12. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya: Kuna ongezeko la kasi la Wagonjwa wa Afya ya Akili nchini

    Mada ni nzuri mkuu ila maoni yangu yaeza onekana kama yanapingana... si nia yangu, nia yangu kumulika tochi kivingenevo. Tukizungumzia magonjwa ya akili kielimu tutakuwa tunajifananisha na jamii za wanatuletea fafanuzi hizi - yaani wazungu. Kwa njia hii hatutagusa kwa kiini chanzo cha magonjwa...
  13. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Mkuu, tena umeonyesha akili zao zinavopingana zenyewe kuhusiana na INTELLIGENT DESIGN. 'wanaamini kitanda kimetengenezwa na mtu mwenye akili' ila hawaamini binadamu hata dunia imeumbwa kiakili. Mifano ni mingi, mimi hupenda kuutumia huu ufuatao - mzunguko wa hewa tunayopumua ... ili tuishi...
  14. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Ni ajabu!..Tundu Lissu apata nafasi adhimu ya uhuru wa kuzungumza na mawakili bila kuzungukwa na Mapolisi wa kininja mahakamani leo

    Anatuonyesha maana ya UZALENDO. Natumai aishie kuwa Mandela
  15. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Ni ajabu!..Tundu Lissu apata nafasi adhimu ya uhuru wa kuzungumza na mawakili bila kuzungukwa na Mapolisi wa kininja mahakamani leo

    Sawasawa mkuu... Mandela alifungwa miaka 27 ila waliendelea kusonga mbele na akaja kuwa raisi. Maninja wanastuka tochi inavowamulika hadi kimataifa... wataendelea kulegea Rasta Lissu oye... sijui ni maamuzi yake ama wamemnyima kitana
Back
Top Bottom