Indeed, umejilenga
Mtandaoni Darwinism ipo na wala si memes... study more or peruse internet manake wabatwuka mno na kejeli zisizo na msingi wala wa kielimu
Swali muhimu mkuu. Si ndo hawa hawa wachina wamagharibi waliponda na propaganda kibao duniani eti ukomunisti unakandamiza kikaenda kikarudi, hadi kuunda duniani itikadi kuu mbili - ubepari na ukomunisti.
Leo hawa wakomunisti ni matajiri dunia nzima umma ukifaidika na kukua kimaendelea kila...
Sasa mkuu hapo nitakuwa nachukua nafasi ya Mungu kufafanua tusichokielewa kiundani... ila cha msingi kwangu huku kutegemeana ni dalili za intelligent design.
NDIO kile tusichokielewa kwa nini kinafanya kazi na hata wanasayansi kabambe hawana uwezo wa kuelewa ni ushahidi tosha wa nguvu kubwa kuliko sisi imehusika - Mungu. Na ndio ni ushahidi kwamba kilipangwa na si bahati mbaya. Intention ya hiyo design ilikuwa tuendelee kuishi bila kuishiwa hewa ya...
Je umeliepuka swali langu?
contrast kuhusu kupumua kuwa ni intelligent design? Pointi yangu ni kwamba huu mfumo si bahati mbaya bali tokeo la intelligent design. Na recycling ya sisi kutegemeana na mimea ndo ushahidi. Unahitaji nn zaidi?
Unachobisha ni kwamba sio intelligent design...
Mkuu, binafsi, huku 'kutegemeana' ka ulivotamka, ni muundo wa kiakili flani - na ndo ushahidi, kwa sababu sayansi imeweza kutuambia mfumo lakini haijaweza na haitaweza kutuambia kwa nini mfumo uko ivo. Sidhani utaweza pia.
Sasa unaposema ni kwa sheria... sheria za nani?
Pia mkuu, tafakari dini...
Mada ni nzuri mkuu ila maoni yangu yaeza onekana kama yanapingana... si nia yangu, nia yangu kumulika tochi kivingenevo.
Tukizungumzia magonjwa ya akili kielimu tutakuwa tunajifananisha na jamii za wanatuletea fafanuzi hizi - yaani wazungu. Kwa njia hii hatutagusa kwa kiini chanzo cha magonjwa...
Mkuu, tena umeonyesha akili zao zinavopingana zenyewe kuhusiana na INTELLIGENT DESIGN.
'wanaamini kitanda kimetengenezwa na mtu mwenye akili' ila hawaamini binadamu hata dunia imeumbwa kiakili. Mifano ni mingi, mimi hupenda kuutumia huu ufuatao - mzunguko wa hewa tunayopumua ... ili tuishi...
Sawasawa mkuu... Mandela alifungwa miaka 27 ila waliendelea kusonga mbele na akaja kuwa raisi.
Maninja wanastuka tochi inavowamulika hadi kimataifa... wataendelea kulegea
Rasta Lissu oye... sijui ni maamuzi yake ama wamemnyima kitana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.