Sawa mkuu, na haijengwi mashuleni tu ... vitabu, nyimbo, masinema ... kila kitu ambacho our 5 senses zinahusika vinajenga akili - iwe kichanya ama kihasi
Nimeona labda nikubandikie ile hoja yangu niliyoanza nayo ... labda hukuisoma, manake unarudiarudia yaleyale nilojadili kama maswali kwangu ... niaje?
=========================================================================
Ule msemo wa wadhungu 'you are what you eat' ni kweli kabisa...
Binafsi, hutafuta biblia za kale ama ile ya Ethiopia kuelewa ama kuhakiki... biblia mpya nyingi zilitafsiriwa na wasioelewa lugha fullu... kama lugha si yako, waeza kutoelewa mafumbo ya hio lugha. Pia wengine walitafsiri biblia ili iendane nao badala ya ukweli uloandikwa. Tafiti amri kumi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.