Mungu yupo kwa sababu sisi na hii dunia yetu imeumbwa KIAKILI - yaani INTELLIGENT DESIGN. Ntatoa mifano 2
naamini sio ajali vile sisi ili tuishi - tunavuta hewa inayopumuliwa nje na mimea; nayo mimea ili iishi inavuta hewa tunayopumua nje... tunabadilishana.
msemo na mstari wa biblia...
Matatizo ya biblia ni tafsiri nyingi na mara nyingine zinaleta maana tofauti. Mungu ange REGRET kumuumba mwanadamu asingemucha Noah... neno sahihi badala ya REGRET ni SORROW ... Mungu alihuzunika kumuumba mwanadamu vile alivoona kachafuliwa na malaika walokuja duniani.
Kuhusiana na wanyama -...
Habari wanajamii,
Nilicho na uhakika ni hiki...
Picha ya 'yesu' iliyoletwa na mkoloni na bado nyingi zaning'inia makanisani na majumbani ni ya kitapeli...
Ni picha ya jomba la Kadinali alieitwa Borgia... tena lijamaa pichani lilikuwa balaa madhambi kikapu tele. Ukitaka kutambua shetani...
Habari mwanaJamii mwenzangu,
Uko sahihi mkuu.
Katika kuona mda wake unakaribia, anafanya vitu wazi wazi ndo maana leo tunawajua mafreemason kuliko zamani walipojificha. Ukiona sherehe ya ufunguzi wa olympic ya michezo ya barafu kule Italia, utahisi papa haishi karibu, du!
Chungulia hata...
Za masiku mwanaJamii mwenzangu
...miaka imepita, na kadri inavopita tunajifunza mapya vile elimu haina mwisho.
Kwa leo hii, kuhusiana na elimu, espesheli ya mdhungu tunayosomea mashuleni ni elimu potofu kwa nia ya kutuzubaisha na kuficha historia yetu weusi ili tusiendelee au kusanuka pamoja na...
Za masiku wanaJamii...
:LIKE:anaonekana fiti
...simjui ivo nisiseme mengi kuhusu yeye, ila siku hizi bhana sura na miili ya kununua mingi huezi jua ni asili au la kuundwa upya
Hodi wanaJamii wenzangu, za masiku:)
Hivi ukiwa raisi ulieshikiliwa na mstaafu, wewe ni raisi kiongozi ama raisi kibaraka?
Binafsi, jibu la hili swali ndo chanzo hatupati majibu wala huruma na utu tunaostahili, espesheli, mashujaa waliouawa... Mola awarehemu. Na kila mkoa tunastahili...
Hodi wanaJamii wenzangu. Za masiku.
Kwanza nitoe Hongera kubwa kwa JamiiForums ilivo imara na kudumu kwake... ziwafikie viongozi na wadau.
Huu mgogoro wa Ukraine na Urusi hadi leo, kwa tulioufatilia vizuri, umeshaonyesha nia na sura zilizofichwa mwanzoni na mayowe ya wana'magharibi' - eti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.