Recent content by Natty Bongoman

  1. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Je, Mungu yupo au hayupo?

    swali kali, ila naona ka vile linapingana na maana ya neno Mungu
  2. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Je, Mungu yupo au hayupo?

    Mungu yupo kwa sababu sisi na hii dunia yetu imeumbwa KIAKILI - yaani INTELLIGENT DESIGN. Ntatoa mifano 2 naamini sio ajali vile sisi ili tuishi - tunavuta hewa inayopumuliwa nje na mimea; nayo mimea ili iishi inavuta hewa tunayopumua nje... tunabadilishana. msemo na mstari wa biblia...
  3. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Je Mungu anaweza kuwa Mungu; Je mtu anaweza kuwa Mungu?

    Matatizo ya biblia ni tafsiri nyingi na mara nyingine zinaleta maana tofauti. Mungu ange REGRET kumuumba mwanadamu asingemucha Noah... neno sahihi badala ya REGRET ni SORROW ... Mungu alihuzunika kumuumba mwanadamu vile alivoona kachafuliwa na malaika walokuja duniani. Kuhusiana na wanyama -...
  4. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Ushahidi huu unathibitisha Yesu ni Mungu

    Habari wanajamii, Nilicho na uhakika ni hiki... Picha ya 'yesu' iliyoletwa na mkoloni na bado nyingi zaning'inia makanisani na majumbani ni ya kitapeli... Ni picha ya jomba la Kadinali alieitwa Borgia... tena lijamaa pichani lilikuwa balaa madhambi kikapu tele. Ukitaka kutambua shetani...
  5. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Mungu na jamaa yake Shetani wanazidi kupoteza umaarufu waliojizolea

    Habari mwanaJamii mwenzangu, Uko sahihi mkuu. Katika kuona mda wake unakaribia, anafanya vitu wazi wazi ndo maana leo tunawajua mafreemason kuliko zamani walipojificha. Ukiona sherehe ya ufunguzi wa olympic ya michezo ya barafu kule Italia, utahisi papa haishi karibu, du! Chungulia hata...
  6. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Tatizo la elimu ya Tanzania sio kukariri bali ni ugumu wa lugha inayotumika bila kuwekewa msingi mzuri katika lugha hiyo

    Za masiku mwanaJamii mwenzangu ...miaka imepita, na kadri inavopita tunajifunza mapya vile elimu haina mwisho. Kwa leo hii, kuhusiana na elimu, espesheli ya mdhungu tunayosomea mashuleni ni elimu potofu kwa nia ya kutuzubaisha na kuficha historia yetu weusi ili tusiendelee au kusanuka pamoja na...
  7. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

    ??? sala ya maria niaje
  8. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Tukiwaambia fanyeni mazoezi mnabisha cheki huyu bibi dada., ukipewa unaoa

    Za masiku wanaJamii... :LIKE:anaonekana fiti ...simjui ivo nisiseme mengi kuhusu yeye, ila siku hizi bhana sura na miili ya kununua mingi huezi jua ni asili au la kuundwa upya
  9. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Samia usitupe pole twaambie aliyeua Watz ni nani ??

    Hodi wanaJamii wenzangu, za masiku:) Hivi ukiwa raisi ulieshikiliwa na mstaafu, wewe ni raisi kiongozi ama raisi kibaraka? Binafsi, jibu la hili swali ndo chanzo hatupati majibu wala huruma na utu tunaostahili, espesheli, mashujaa waliouawa... Mola awarehemu. Na kila mkoa tunastahili...
  10. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Hodi wanaJamii wenzangu. Za masiku. Kwanza nitoe Hongera kubwa kwa JamiiForums ilivo imara na kudumu kwake... ziwafikie viongozi na wadau. Huu mgogoro wa Ukraine na Urusi hadi leo, kwa tulioufatilia vizuri, umeshaonyesha nia na sura zilizofichwa mwanzoni na mayowe ya wana'magharibi' - eti...
  11. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Papa: Unyanyasaji wa kingono Ufaransa aibu kwa Kanisa

    matamshi ya kutuliza umma ... tokea miaka nenda rudi... anashindwa nini kusema nimemfukuza kazi askofu
  12. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Ndege nne za Urusi zaangushwa huku baadhi ya Wanajeshi wake wakikataa kutekeleza amri za Wakuu wao

    huyu mbbc alikuambia madhara ya upande mwingine? ... hii vita si simba na yanga
  13. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    umelishwa italian limbwata
  14. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    unaishi wapi ka hujaona hata mafuta yanapanda nk... ama we mwanafunzi
Back
Top Bottom