Recent content by Nasri A Kulemba

  1. Nasri A Kulemba

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    IKIWA MANCHESTER UNITED WATAMPATA ANDRE ONANA,ITAKUA NI DIRA BORA KWA ERIC TEN HAG. Hali ilivyosasa.. Ni wazi fika Man united kwasasa inakumbwa na hali ya kutokua na kiwango kizuri cha fungo la usajili,kuna baadhi ya taarifa zinasema kiwango alichopewa Ten Hag ni £120 mil. Licha ya kuwa...
  2. Nasri A Kulemba

    JamiiForums Tanzania Ya Glazas na manchester united, ni mfano wa mahusiano yanayochosha

    YA GLAZAS NA MANCHESTER UNITED, NI MFANO WA MAHUSIANO YANAYOCHOSHA. Kalamu ya Nasri kulemba.. Baada ya washabiki wa Manchester United kuandamana jana,kulikua na mijadala mingi sana . Tukio hilo limezua hoja mchanganyiko kutoka kwa wadau mbali mbali . Hoja kubwa kutoka kwa wadau hasi katika...
  3. Nasri A Kulemba

    JamiiForums Tanzania Ni njama za makusudi kumuangusha Rais

    Na Thadei Ole Mushi Kila mtu kwenye taifa hili kwa sasa anafanya press kupinga uwekezaji wa Bandari kuwa kama ulivyo na vifungu vyake kwenye MoU. Nimetafakari kwa muda nimegundua kuwa Rais anafanyiwa hujuma kwa hesabu kali za urais 2025-2030. Kwa nini nasema hivyo? Ninachokijua mimi Mafile...
  4. Nasri A Kulemba

    JamiiForums Tanzania Kiswahili chaongoza kuwa Lugha inayozungumzwa na watu wengi Barani Afrika

    Africa's Most Spoken Local Languages 1. KiSwahili (200 million speakers) 2. Hausa (120 million speakers) 3. Amharic (57 million speakers) 4. Yoruba (50 million speakers) 5. Igbo (45 million speakers) 6. Fulani (41.6 million speakers) 7. Oromo (37.4 million speakers) 8. Berber (32 million...
  5. Nasri A Kulemba

    JamiiForums Tanzania Ivan Toney apigwa nyundo

    Mshambuliaji wa Brentford, Ivan Toney, amefungiwa kujihusisha na mpira kwa miezi minane kwa kosa la kukiuka sheria za chama cha soka cha England, FA, kuhusu kubeti. Kifungo chake kutaisha Januari 16, lakini zaidi ya kufungiwa, Toney pia amepigwa faini ya pauni 50,000 ambayo ni sawa na shilingi...
  6. Nasri A Kulemba

    JamiiForums Tanzania Murtaza Mangungu, Simba sc Hawanidai

    Kutoka kwa Mwenyekiti wa Simba. “Niliwaahidi mashabiki wa Simba, msimu huu lazima tumfunge Yanga na tumemfunga tukafurahi wote. Kwenye hilo mashabiki hawanidai”. [emoji2788] Murtaza Mangungu, M/kiti wa Simba SC
  7. Nasri A Kulemba

    JamiiForums Tanzania Antony Grant Bloom. Myahudi mmoja mwenye akili kubwa sana

    Wahuni wamembatiza jina la The Lizard akiwa kwenye meza ya poker, wanasema mwana ni cold-blooded na hii ndio sababu ya wao kumbatiza jina la Mjusi. Antony Grant Bloom. Myahudi mmoja mwenye akili kubwa sana ya kiuchumi, ambaye ni Mjasiriamali, mchezaji kamari na mfanya ubashiri mkubwa sana pale...
  8. Nasri A Kulemba

    JamiiForums Tanzania Rabiot anukia Manchester United

    Erik ten Hag anamuangalia Adrien Rabiot kama 'lengo muhimu' kwa majira ya joto, kulingana na L'Equipe. The Reds walihusishwa na Rabiot msimu uliopita wa joto, lakini hawakuweza kupata makubaliano ambayo yangewafanya kuwalipa Juventus kwa huduma yake. Hata hivyo mchezaji huyo mwenye umri wa miaka...
  9. Nasri A Kulemba

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Erik ten Hag amemtambua Adrien Rabiot kama 'lengo muhimu' kwa majira ya joto, kulingana na L'Equipe. The Reds walihusishwa na Rabiot msimu uliopita wa joto, lakini hawakuweza kupata makubaliano ambayo yangewafanya kuwalipa Juventus kwa huduma yake. Hata hivyo mchezaji huyo mwenye umri wa miaka...
  10. Nasri A Kulemba

    JamiiForums Tanzania Maana na lengo la Pre Season

    Pre Season …Maana na maelengo yake …twende pamoja unaweza kupata kitu . kalamu ya Nasri Kulemba[emoji3578] Pre season ..mafunzo ya kabla ya msimu ..au mazoezi ya kujianda na msimu mpya .. Ni vyema tukajua maana na pre season na malengo yake ..ila kabla sijaenda mbali nataka niwakumbushe kitu...
  11. Nasri A Kulemba

    JamiiForums Tanzania Ya Cristiano Ronaldo na Manchester United, na ufumbuzi katika fumbo lililo gumu

    YA CRISTIANO RONALDO NA MANCHESTER UNITED,NA UFUMBUZI KATIKA FUMBO LILILO GUMU.[emoji3576] kalamu ya Nasri Kulemba [emoji3578] Kile alichosema Cristiano Ronaldo dhidi ya waajiliwa wake Manchester united ,ni tarajio lililokua linasubiliwa na wapenzi wengi wa kandanda. Tatizo sio kubaki...
  12. Nasri A Kulemba

    JamiiForums Tanzania Hii ndio nafasi pekee kwa Feisal Salum kucheza soka la nje

    Kuna taarifa zinazomuhusu kiungo wa Yanga Feisal Salum kuhitajika na vilabu viwili nje ya Tanzania. Kwenye email rasmi ya Yanga na CEO kuna ofa mbili za Feisal Salum, kutoka klabu ya Ligi kuu Uturuki na Klabu ya Ligi kuu Misri. Maoni yangu Kama kweli kuna hizo ofa mezani huu ndio muda muafaka...
  13. Nasri A Kulemba

    JamiiForums Tanzania Pape Sakho, thamani inayoelekea sokoni

    PAPE OUSMANE SAKHO,THAMANI INAYOELEKEA SOKONI . Hii ni dhahabu iliyotoka ardhini na kupitia kwenye moto ,kazi iliyobaki ni namna ya kuipeleka sokoni ,uwezo kipaji na maalifa ndio vinaleta maana ya kuwa sakho ni dhahabu iliyosafishwa . Maandalizi ya simba sc na mafanikio ndio ngazi rasmi...
  14. Nasri A Kulemba

    JamiiForums Tanzania Uhalisia wa Shetani (Utaifahamu kweli, na hiyo kweli itakuweka huru)

    Labda nikusaidie kitu kimoja aidha huu ndio ukweli kutokana na mapokeo ya misamiati baadhi kwenye lugha yetu ya kiswahili ….tumepokea kutoka kwa mataifa mbali mbali ..hasa kwenye lugha ya kiarabu . Ni hivi kunautofauti kati ya Ibilisi na Sheytwan .. Tafsiri halisi ya lugha ya kiarabu katika...
  15. Nasri A Kulemba

    JamiiForums Tanzania Mtambo wa mabao ndani ya wanyama Man City, karibu Uingereza Erling Haaland

    MTAMBO WA MABAO NDANI YA WANYAMA MAN CITY ,KARIBU UINGEREZA ERLING HALLAND. [emoji460]️ Imeandikwa na Nasri Kulemba[emoji3578] Kuna namna ya kukubaliana juu uwezo,maamuzi na kipaji ,kisha tukapa jibu ya kuwa huyu ni mchezaji mahili juu ya vigezo hivyo, lakini pia tunaweza kukubaliana kuwa...
Back
Top Bottom