Nadhani dini yao hairuhusu unywaji, wakatoliki tunaruhusiwa kunywa ila tusilewe, sasa ukishaonja ni vigumu kuji control, unajikuta umelewa , waislamu hawaruhusiwi ila Qur an inasema peponi kuna mito ya pombe. Sasa waislamu wanajiongeza kama mbinguni ipo kwanini hapa tusinywe.
Habari hizi zinaniumiza mimi Mrusi wa Buza, kwani hakuna habari nyingine?
Mtaani niliwaaminisha wamarekani wa Buza kuwa tutawapelekea moto wa Yukreini mpaka waseme wawa badala ya ubwabwa.
Sasa mambo yamebadilika Dejan Mtukazi anamtwanga Ocra Andunje.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo Jumamosi, Septemba 24, 2022 kwenda Tokyo, Japan ambako atamwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mazishi ya ya kitaifa ya Waziri Mkuu mstaafu wa nchi hiyo, Shinzo Abe.
Taratibu za kutoa heshimaza mwisho zinatarajiwa kufanyika Jumanne...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.