Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza sms za mpenzi wangu zimefumaniwa na mchumba wangu kipindi nimeacha Simu ndani nimeshindwa jinsi ya kujitetea kabisa ivi ameondoka kaenda kwao na kanitumia sms kuwa nisimzoee tena na vitu vingi tu sasa wana jamii nipeni mwongozo nifanyeje nimtumie...
Umeongea vizuri tena kwa kujiamini ila n rahisi sana ukitaka kujua kama Mungu yupo japo kuwa tukifa hatujui uwa tunaenda wap hilo ndo tatizo mungu yupo sema hujataka kujua tena indicator zIpo nyingi sana mkuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.