Na watamchagua tena 2020.Ni kweli ana mapungufu yake lakini kwenye swala la Uchumi yuko powa sana tu.Hili swala kila Mmarekani analijua kwamba Trump ameleta hope kwenye uchumi na ajira,makampuni yanarudi ku invest home kutokana na privilege alizoziweka Trump,Marekani kwa sasa inahimarika sana kiuchumi na nguvu,Hilary asingeweza kupambana na China kwenye masuala ya Uchumi. Obama alikuwa Soft sana kwenye economic policies,China ili take advantage sana kipindi chake.Hana qualities zozote za kuwa rais wa taifa kubwa kama lile. Kinachosaidia ni kuwa kuna checks and balances zinazofanya kazi kweli kweli vinginevyo USA ingelikuwa kama Tanzania, Rwanda, Burundi and many other shithole countries!
BTW Yule bibi alikuwa hana sababu nyingine ya kuwa rais zaidi ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa rais wa USA...Afadhali Trump alikuwa anasema "Make Amerika Great Again".Wamarekani huwa hawapangiwi...
Walimchagua Obama mtu mweusi, tena generation ya kwanza toka Afrika...
Yule Bibi ndo angekuwa kimeo kabisa,afadhali Trump.Alikuwa hana sababu ya kuwa rais zaid ya umwanamke wake basi.Sera zake ni zile zile za Obama ambazo wamarekani walishazichoka.Amerikans walikuwa wanataka real things siyo story story kama unafanya motivation speech.wamerekani kama wamerekani hawakumchagua trump.. kwa wingi wa kura za wananchi alishinda Clinton ila trump akabebwa na elector colledge votes.... syteam ambayo naona inapingana na demokrasia wanayoipigia kelele
Labda Ile slogan ya "We want to make America great again" nadhani iliwavutia sana Waamerika, but had it not been that USA has strong checks and balances, USA could have slipped into dictatorship!Na watamchagua tena 2020.Ni kweli ana mapungufu yake lakini kwenye swala la Uchumi yuko powa sana tu.Hili swala kila Mmarekani analijua kwamba Trump ameleta hope kwenye uchumi na ajira,makampuni yanarudi ku invest home kutokana na privilege alizoziweka Trump,Marekani kwa sasa inahimarika sana kiuchumi na nguvu,Hilary asingeweza kupambana na China kwenye masuala ya Uchumi. Obama alikuwa Soft sana kwenye economic policies,China ili take advantage sana kipindi chake.
Ungejua kwanza ni kwa nini wazee waliweka hii system kutokana na mfumo wa marekani...Hujui hata electoral college votes zinatokana na mtu kushinda jimbo husika kwa kura nyingi?.Huwezi kupata Electoral Vote kama hukushinda jimbo husika...wamerekani kama wamerekani hawakumchagua trump.. kwa wingi wa kura za wananchi alishinda Clinton ila trump akabebwa na elector colledge votes.... syteam ambayo naona inapingana na demokrasia wanayoipigia kelele
The guy is good kwenye Economic issues.Wamarekani wanaamini uimara wa nchi yao ni Jeshi na Uchumi.Hata 2008 kilichompa kura Obama ni sera za kuinua uchumi kutokana na anguko lile la 2008.Sasa yule bibi alikuwa anatoa motivation speech tu,hakuwa real kabisa,CNN & Co ndo walikuwa wanamjaza akaamini kabisa 99% atashinda.Dunia ya saaa ina move,watu watakuwa kupenda kuongozwa na ma nationalist kuliko motivation speakers kama Kina hilary na Obama.Labda Ile slogan ya "We want to make America great again" nadhani iliwavutia sana Waamerika, but had it not been that USA has strong checks and balances, USA could have slipped into dictatorship!
Umetoa sababu ya msingi. Hata Reagan walimchagua kwa vile aliwahakikishia ulinzi wa nchi yao... kuwakinga na mashambulizi wa imani kali za kidini!The guy is good kwenye Economic issues.Wamarekani wanaamini uimara wa nchi yao ni Jeshi na Uchumi.Hata 2008 kilichompa kura Obama ni sera za kuinua uchumi kutokana na anguko lile la 2008.Sasa yule bibi alikuwa anatoa motivation speech tu,hakuwa real kabisa,CNN & Co ndo walikuwa wanamjaza akaamini kabisa 99% atashinda.Dunia ya saaa ina move,watu watakuwa kupenda kuongozwa na ma nationalist kuliko motivation speakers kama Kina hilary na Obama.
Ungejua kwanza ni kwa nini wazee waliweka hii system kutokana na mfumo wa marekani...Hujui hata electoral college votes zinatokana na mtu kushinda jimbo husika kwa kura nyingi?.Huwezi kupata Electoral Vote kama hukushinda jimbo husika...
Motivation speech hazina uhalisia eeeh?Yule Bibi ndo angekuwa kimeo kabisa,afadhali Trump.Alikuwa hana sababu ya kuwa rais zaid ya umwanamke wake basi.Sera zake ni zile zile za Obama ambazo wamarekani walishazichoka.Amerikans walikuwa wanataka real things siyo story story kama unafanya motivation speech.