karibu sana jje's.nimependa sana ulivyo comment.
mimi huwa sipendi ku comment but vitu vikizidi yani mmmh!!! inanibidi ni comment. Umesema kweli kabisa jje's. Uwepo wa emotional zetu za kike kike si kizingiti na wala si sababu ya kutuzuiya sisi wanawake tunao jielewa kutokujua nini...
waiyyakum/wa antum fa jazakhum Allahu khayran.Na Allah ma amen kwa sote Allah atujaliye kila la kheir hapa duniani na kesho akhera.Allah ma amen.shukran sana.
ebaeban
wewe ebaeban mbona huna adabu hata ya kuvalia nguo yako.unasubutu kweli kumtukana mwanamke hivyo.kweli. huna mzazi wa kike wewe au ndugu au jamaa wa kike au mke katika ukoo wenu.huoni hata vibaya kuja katika mtandao na kutukana hivi.kweli asiye leleka utamjua tu.na mkuu wa hii blog una...
mmh!!! umeniacha hoi!!! kwa kweli huwa sipendi kuchangia but watu kama wewe faiza foxy wenye hikma ya ujuzi wa mambo na matukio yanayotendeka duniani huwa wananivutia sana mpaka naacha comment japo kidogo.Kwa kweli wewe ni great thinker's na uchangiaji wako humu katika jf ni muhimu sana na ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.