Recent content by nangwanda

  1. nangwanda

    JamiiForums Tanzania Kwa Tanzania maisha ya kijijini ni magumu zaidi kuliko mjini kwa ujumla

    Sijaona hata mmoja kataja Kijiji jina zaidi ya balabla tu,hivyo vijiji vilishaisha almost miaka saba ama kumi nyuma mahitaji ya msingi vijijini kote sasa hivi ni mfuko wako tu hata mijini kama mfuko wako mdogo utakula za uso tu,Dunia ishakua Kijiji hii mwenye maarifa ndo anaishi kiwepesi iwe...
  2. nangwanda

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kazi yoyote ili nipate 1,050,000/= ndani ya siku 7

    Umeulizwa "kupiga kura"sio kupiga kaka
  3. nangwanda

    JamiiForums Tanzania Azam Media Kutopeleka Vifaa vya matangazo tarehe 15.06.2025

    Au yupo zake ikwiriri anakimbiza mabasi ili kuuza mahindi yake ya kuchemsha,anaona kila kitu ni rahisi tu
  4. nangwanda

    JamiiForums Tanzania Mbeya:Kijana ajiua,kisa mke wake kubeba ujauzito wa mwanaume mwingine

    Hii reply imenichekesha sana "kiwavi jeshi*
  5. nangwanda

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naisha na single mother ila sasa mwanae ni mtundu balaa, nikimuonya mama yake anakuja juu

    Njoo uchukue sahani za chuma magetoni
  6. nangwanda

    JamiiForums Tanzania Siku ya kufa Nyani: Polisi na TRA wavamia biashara yangu

    Hao wamewahi sana mana wanapitaga kila mwezi wa tatu,sita,tisa na Dec Hiyo inaitwa tia mchuzi pangu pakavu lazima kichwa kiwake
  7. nangwanda

    JamiiForums Tanzania Serikali mhemko: Vyuo vyote vikuu Dar vimefungwa kupisha mkutano ya viongozi

    Makutano wa dunia tungeambiwa tusitoke ndani
  8. nangwanda

    JamiiForums Tanzania Nitajibu swali lolote linalohusu ujenzi kasoro neno bei gani. Technical tu

    Ulijinasibisha utajibu swali lolote mbona mengine unapita wima Rejea post #54
  9. nangwanda

    JamiiForums Tanzania Video: Nani mwenye Makosa kwenye hii ajali ya Bodaboda?

    Kweli nchi imepiga hatua CCTV hadi maporini
  10. nangwanda

    JamiiForums Tanzania Vibaka, wezi, panya road wanazidi kuadimika mitaani

    Hii pande zetu naipata kule chini kanIsani,kwema jirani?
  11. nangwanda

    JamiiForums Tanzania Nitajibu swali lolote linalohusu ujenzi kasoro neno bei gani. Technical tu

    Hongera sana mkuu kwa kutoa elimu,binafsi naomba ushauri paa langu limepauka sana hadi linaanza kuota kutu yani hadi nyumba naanza kuichukia bila shaka niliuziwa bati fake lakini haivuji,je njia gani sahihi kurudisha muonekano mzuri tofauti na kupaua tena kwa bati zingine!Asante.
  12. nangwanda

    JamiiForums Tanzania Wasichana wa kiislamu wamekamatwa wakiwa wamefungiwa kwenye nyumba Dodoma, inayosadikika kupewa elimu ya dini

    Hata kama ni chuki imezidi,Madrasa msituni?
  13. nangwanda

    JamiiForums Tanzania Shule ya English Medium imegoma kumuhamisha mwanangu. Hatiani kukosa mtihani wa darasa la nne

    Ni kweli single mom wakuonea huruma sana kuna mapito wanapitia mazito sana ila unashindwa kumjua yupi mkweli yupi muongo,wanahitaji uangalizi mkubwa.
  14. nangwanda

    JamiiForums Tanzania AFRICON 2027 inakuja na neema ya ujenzi wa barabara 4 ,kuanzia mbagala - chamazi- chanika

    Mkaazi wa Mbagala au Msongola huyo msameheni
Back
Top Bottom