HAPA KAKONKO NA KIBNNDO, KIGOMA, UKAWA walikubaliana kuwa NCCR wagombee, lakini cha ajabu, hata CHADEMA wamesimamisha wagombea akina KASUKU BIRAGO! Inaonesha dhahiri kuwa muungano wao upo na maslahi yaliyo nyuma ya PAZIA.
Wanawake wenye ajira serkalini 98% na wenye DEGREE 99% lao ni moja tu.
NDOA NI ZA DRS 7 NA F4,
WENYE DGRII WANA VIBURI UTAFIKIRI WANA IC KWENYE IC, WANAOLEWA NA DGRI ZAO!
MIFANO IPO MINGI TU!
Ukiwafukuza wataunda jeshi lao mtaani, jamii itapata shida, uhalifu utaongezeka, na tukisema wafungwe kifungo cha maisha magereza hayatoshi na madhara mengine kama kuongezeka kwa machokoraa, mwewe, mbwamwitu, panyaroad nk.
Bora waendelee na kazi lakini walipwe kulingana na elimu yao ya...
Mwakeye, HUYO NI MUHA WA HAPA KIBONDO KIGOMA, "Ingo, muhira wachu ni hehe?"
"Njoo, nyumbani kwenu ni wapi?"
CHEZEA KIGOMA, WALI MAHARAGE NA MAWESE BILA NYANYA.
Nakushauri unyoe nywele zako kwa wembe(zungu) bila kujikata na ujipake maji ya betri SULPHURIC ACID,(kiasi kidogo, tumia kidole na kifuniko cha plastik kuhifadadhia) ambayo hayajatumika na usugue kidogo, subiri baada ya dk 3 na uoshe kwa sabuni ya shampoo pekee. utawashwa lakin vumilia! LINDA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.