CHADEMA waigawa UKAWA kabla ya UCHAGUZI

CHADEMA waigawa UKAWA kabla ya UCHAGUZI

chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kimeonekana kuigawa ukawa kutokana na kwamba wao ndio wanajitambulisha kama ukawa. Kwenye baadhi ya majimbo ambayo cuf au nccr- mageuzi wamesimamisha mgombea, wao pia wamesimamisha mgombea wao.

Na siku chache zilizopita nccr imejitokeza wazi kulalamikia vitendo vya chadema. Hii ni wazi kwamba upo mgogoro mkubwa ndani ya ukawa. Sitashangaa huko masasi chadema wakisimamisha mgombea wao baada ya kifo cha dr. Makaidi.

Sasa watu wa jinsi hii wakipewa dola si ndo watachukua raslimali zetu zote?

Kwenu wana jamvi.


ccm ndio mpango mzima, magufuli anashinda.
 
HAPA KAKONKO NA KIBNNDO, KIGOMA, UKAWA walikubaliana kuwa NCCR wagombee, lakini cha ajabu, hata CHADEMA wamesimamisha wagombea akina KASUKU BIRAGO! Inaonesha dhahiri kuwa muungano wao upo na maslahi yaliyo nyuma ya PAZIA.
 
Jaman haya maneno ni propaganda tuuu!! Mtabaki nayo hayagusi moyo wa mwana UKAWA hata mmoja. Mmeumia
 
HAPA KAKONKO NA KIBNNDO, KIGOMA, UKAWA walikubaliana kuwa NCCR wagombee, lakini cha ajabu, hata CHADEMA wamesimamisha wagombea akina KASUKU BIRAGO! Inaonesha dhahiri kuwa muungano wao upo na maslahi yaliyo nyuma ya PAZIA.

CDM wanafanya siasa kishamba sana na kiushabiki na mwaka huu wataisoma
 
Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimeonekana kuigawa UKAWA kutokana na kwamba wao ndio wanajitambulisha kama UKAWA. Kwenye baadhi ya majimbo ambayo CUF au NCCR- Mageuzi wamesimamisha mgombea, wao pia wamesimamisha mgombea wao.

Na siku chache zilizopita NCCR imejitokeza wazi kulalamikia vitendo vya Chadema. Hii ni wazi kwamba upo mgogoro mkubwa ndani ya UKAWA. Sitashangaa huko Masasi Chadema wakisimamisha mgombea wao baada ya kifo cha Dr. Makaidi.

Sasa watu wa jinsi hii wakipewa dola si ndo watachukua raslimali zetu zote?

Kwenu wana jamvi.

Bendera za CDM pekee ndo zinaonekana kana kwamba Ukawa ni Mali ya CDM pekee yao
 
Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimeonekana kuigawa UKAWA kutokana na kwamba wao ndio wanajitambulisha kama UKAWA. Kwenye baadhi ya majimbo ambayo CUF au NCCR- Mageuzi wamesimamisha mgombea, wao pia wamesimamisha mgombea wao.

Na siku chache zilizopita NCCR imejitokeza wazi kulalamikia vitendo vya Chadema. Hii ni wazi kwamba upo mgogoro mkubwa ndani ya UKAWA. Sitashangaa huko Masasi Chadema wakisimamisha mgombea wao baada ya kifo cha Dr. Makaidi.

Sasa watu wa jinsi hii wakipewa dola si ndo watachukua raslimali zetu zote?

Kwenu wana jamvi.

Mwapenda kuigawa UKAWA, hilo halita tokea. Shetani epushia mbali matakwa ya ccm.
 
Mwapenda kuigawa UKAWA, hilo halita tokea. Shetani epushia mbali matakwa ya ccm.
Kweli ukawa mmegawanyika na ni waabudu mashetani ndo maana mnaomba shetani aokoe jahazi lenu
 
Nyie endelezeni uzushi wenu ila KURA ZETU NI KWA LOWASSA TU. Hatudanganyiki tenaaaa....
 
kununuliwa kazi.... yan NCCR mmedhubutu kununuliwa? haya mnatumia jina gan sasa?
 
Habari za kata ya Msaranga Mjini Moshi. Unaona hao boda boda wanavyokimbilia kusaka hatima ya maisha yao baada ya kupigwa butwaa? Kaangalie hata pale Soweto karibu na Chang'ibay, kwa chalii, mawazo mpaka kule msikitini.
Chadema wamekata tamaa baada ya Lowasa kuacha kugawa pesa
 
Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimeonekana kuigawa UKAWA kutokana na kwamba wao ndio wanajitambulisha kama UKAWA. Kwenye baadhi ya majimbo ambayo CUF au NCCR- Mageuzi wamesimamisha mgombea, wao pia wamesimamisha mgombea wao.

Na siku chache zilizopita NCCR imejitokeza wazi kulalamikia vitendo vya Chadema. Hii ni wazi kwamba upo mgogoro mkubwa ndani ya UKAWA. Sitashangaa huko Masasi Chadema wakisimamisha mgombea wao baada ya kifo cha Dr. Makaidi.

Sasa watu wa jinsi hii wakipewa dola si ndo watachukua raslimali zetu zote?

Kwenu wana jamvi.

wewe gamba kinachookuuma nini,fanyeni yenu acheni ukawa tupange,mikakati yetu ya uongozi wa nchi.
 
wewe gamba kinachookuuma nini,fanyeni yenu acheni ukawa tupange,mikakati yetu ya uongozi wa nchi.
Tunawasikitikia kwani mnapoteza hela nyingi au ndo njia ya kuturudishia mlizotuibia. Sasa mmekwisha rasmi, mpishe njia Magufuli.
 
Wana ukawa wote wanajua kuwa kuwa Chadema ndio wamesimsmisha mgombea hivyo lazima watangulizwe. Huu ni ukweli na sio mgogoro!
 
Back
Top Bottom