Katika upande wa afya kuna kitu kinaitwa referral system. Kwa upande wetu wa tanzania utaratibu wa rufaa upo hivi
Zahanati > kituo cha afya > hospitali ya wilaya > hospitali ya mkoa(kama ipo) > hospitali ya rufaa ya mkoa/kanda > hospitali ya taifa. Hospitali za private au taasisi zinatoa rufaa...
Dah mkuu wewe ni AMO unataka kuniambia hujui vyuo vinavyotoa MD. Okay kwa kukujulisha ni kwamba vyuo vyote nchini vinavyotoa MD vinadahili pia ma C.O kwa kutumia cheti cha diploma chenye GPA ya 3.0 kama equivalent qualification. Zamani tulipoingia sisi walitumia GPA ya 2.7
Labda nikujulishe tu ukilaza wa mtu unategemea na mtu mwenyewe. Mimi pia nimepitia huko C.O miaka mingi iliyopota na nimefanya kazi tena hapo Mtwara, hata ma C.O wapo vikaza hata kufanya incision and drainage hawajui. Labda unisaidie how do you define ukilaza
Ndio CO anaweza kuunga direct MD endapo hajapata ajira ya serikali. Ukiwa umepata ajira serikalini ni lazima ufanye kazi miaka mitatu ndipo uombe kwenda kusoma na utapata ruhusa.
Wadau pikipiki zinalipa inategemea wewe unafanya kwa mfumo upi.
1. Mfumo wa kwanza ni wa marejesho ya kawaida ambayo huna mkataba na dereva na huwa wanaleta kwa siku wastani was tsh 7,000/= Huu sio mfumo mzuri kwasababu service na matengenezo ni juu yako mmiliki na dereva asiye mwangalifu...
Japokuwa TCU walikuwa na mapungufu yao lakini walijitahidi kadiri walivyoweza kudahili wanafunzi wenye sifa hata kwa wengine kupangiwa vyuo ambavyo hawakuviomba kabisa. Pia waliweza kudhibiti kwa kiasi chake mianya ya rushwa na upendeleo wa kikabila na udini katika udahili.
Kuruhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.