Recent content by Namshakende

  1. Namshakende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unawezaje kuishi na mwanamke mwenye hasira kali na mrahisi wa kuzila na kufoka?

    Mimi wangu alikuja na begi lililojaa chupi zake. Baadaye nikakutana na chat anamwambia rafiki yake kwamba amenichoka. Nikamwambia, “Beba chupi zako uondoke, maana hata mimi nimekuchoka pia.
  2. Namshakende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye nipo kazini. Shukrani kwa WanaJamiiforums kwa mawazo na ushauri wenu

    Punguza ujuaji hapo kazini, usijifanye unajua kila kitu. Tambua kuwa zamani hukuwa na chochote, hivyo kuwa mnyenyekevu.
  3. Namshakende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini kila mwanamke ninayeingia naye kwenye uhusiano namuona "pumba"? Nini tatizo?

    Umenena mkuu[emoji120]! Inawezekana kweli hii ni 'defense mechanism' ya ubongo wangu kujiweka mbali pindi ukaribu wa kihisia unapozidi. Nitaufanyia kazi huo mtazamo wa kuacha kutafuta ukamilifu (perfectionism) na kuanza kukubali hali halisi ya kibinadamu.
  4. Namshakende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini kila mwanamke ninayeingia naye kwenye uhusiano namuona "pumba"? Nini tatizo?

    Mimi kuwa mashudu ni mtazamo wako, ila wewe kuwa na akili ndogo kiasi cha kuridhika na kila uchafu ni uhalisia uliokubali.
  5. Namshakende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini kila mwanamke ninayeingia naye kwenye uhusiano namuona "pumba"? Nini tatizo?

    Mkuu, hiyo logic yako ina walakini; kutafuta mwanamke mwenye akili ni kutafuta mtu wa kusaidiana naye majukumu na maono ya maisha, jambo ambalo ni asili ya mwanaume yeyote anayejitambua. Huyo 'dogo' uliyemtolea mfano alikuwa na matatizo yake ya kisaikolojia tangu mwanzo. Kuwa na standards...
  6. Namshakende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini kila mwanamke ninayeingia naye kwenye uhusiano namuona "pumba"? Nini tatizo?

    Ni heri niwe ng'ombe mwenye machale kuliko kuwa binadamu mwenye akili fupi kama zako anayeridhika na kila uchafu unaopita mbele yake.
  7. Namshakende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini kila mwanamke ninayeingia naye kwenye uhusiano namuona "pumba"? Nini tatizo?

    Unaposema mimi ni pumba, unathibitisha kwamba upeo wako ni mdogo kiasi cha kutoweza kutofautisha kati ya kuwa na standards na kuwa 'pumba'. Wewe ambaye unaona kawaida kuishi na mtu asiye na akili mradi tu unakula na kulala, huenda ndiyo unajihisi una akili kwa sababu unashinda na watu wa aina...
  8. Namshakende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini kila mwanamke ninayeingia naye kwenye uhusiano namuona "pumba"? Nini tatizo?

    Uko sahihi kabisa mkuu, na nimepokea ushauri wako kwa mikono miwili. Huenda kweli tatizo langu ni kutaka kuingia kwenye mahusiano na 'standards' za kitaaluma au kimantiki (logic) wakati binadamu tuna mapungufu mengi. Nitaanza kufanyia kazi hili na kupunguza matarajio, kuishi nao kwa namna...
  9. Namshakende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini kila mwanamke ninayeingia naye kwenye uhusiano namuona "pumba"? Nini tatizo?

    Mkuu, hiyo ni dharau na huyo dogo wako alikuwa na matatizo yake!
  10. Namshakende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini kila mwanamke ninayeingia naye kwenye uhusiano namuona "pumba"? Nini tatizo?

    Habari za wakati huu wakuu, Nimekuja kwenu kuomba mtazamo tofauti juu ya jambo ambalo limekuwa likinitokea mara nyingi sasa mpaka nimeanza kujihoji mwenyewe. Tatizo langu ni hili: Kila ninapokutana na mwanamke mpya, mwanzoni huwa namuona yuko vizuri sana, ana akili (smart), na mwenye uelewa...
  11. Namshakende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama umri unaruhusu una afya na uwezo wa kuwajibika ingia kwenye ndoa

    Nimekuelewa.
  12. Namshakende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama umri unaruhusu una afya na uwezo wa kuwajibika ingia kwenye ndoa

    Sitegemei kutoka ndo nipate hela Mkuu, nilishatega mitego ya FEDHA.
  13. Namshakende

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama umri unaruhusu una afya na uwezo wa kuwajibika ingia kwenye ndoa

    Nilitalifanyia kazi waxo lako Mkuu.
Back
Top Bottom