Recent content by Namshakende

  1. Namshakende

    Ujanja mpya umeibuka wa kutapeli wanawake hela kwa kutumia dating page za Instagram

    Wadada wanapenda wanaume wakuongea kingereza , eti wanafikiria wanapesa, kumbe wengi wao ni matapeli tu.
  2. Namshakende

    Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

    Nipe namba yake nipo ghetto mwenyewe tu, nahitaji company yake.
  3. Namshakende

    Kwanini wadada wengi hampendagi kutuunganisha Kimapenzi, sisi wakaka na rafiki zenu wa kike?

    Kuna mmoja ananifanya Mimi ni charting machine yake, namjaza kwenye mfumo zeni nitatokomea mitini!
  4. Namshakende

    FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

    Kwa hiki kikosi Bora nilale tu! Naonà kuna mtu anapigwa goli mbili sifuri.
  5. Namshakende

    FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

    SIMBA NA YANGA NUSU FAINALI,WAKISHINDWA NIITWE MWAJUMA NDALA FUPI.
  6. Namshakende

    Naombeni ushauri, nataka nizae naye tu kisha nitulie

    Mwanaume ukiwa kwenye mahusiano ukitumia zaidi feelings ( emotions) badala ya thinking lazima utakuwa poyoyo tu!
  7. Namshakende

    Watu 12 wakamatwa kwa kula hadharani mchana Zanzibar

    Kwani mtu Kula chakula mchani kipindi cha mfungo ni uvunjifu wa katiba ya nchi? Watu wajinga wajinga ndo wapo very attached kwenye mambo ya dini.
  8. Namshakende

    Hii tabia ya Wanamichezo kumsifia Rais wa nchi kwenye kila jambo tuiitaje?

    Mapambio yamezidi, kila kitu Samia.
  9. Namshakende

    GB WhatsApp mambo yamebuma

    Mtaani kuna vitu vingi fake sio tsap tu, hata ma'tractoor ni fake now days.
  10. Namshakende

    Nahitaji Msaada wa Ushauri kwenye uhusiano wangu

    Darling [emoji178], my heart goes out to you. I can't imagine what you're going through. Please know that I'm here for you if you want to talk. You deserve all the happiness in the world, and I hate to see you hurting. Please visit your PM as soon as possible
Back
Top Bottom