Recent content by Namshakende

  1. Namshakende

    JamiiForums Tanzania Babati kila MWANAMKE ni mzuri ndugu zangu njooni muoe huku

    Umenena vizuri mkuu. Mimi naamini mwanamke wa kujenga anaonekana zaidi kwenye mindset yake kuliko kwenye maneno. Sio lazima awe na pesa nyingi, muhimu awe na uwezo wa kufikiria mbele na kuelewa kwamba maisha hayajengwi kwa starehe za leo pekee. Ukipata mtu ambaye mnaweza kukaa chini mkazungumzia...
  2. Namshakende

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani utaiachia Dunia kabla ya kuondoka kwako?

    Kama kuna kitu ningependa kuacha nyuma yangu, ni kumbukumbu ya kuwasaidia wadogo zangu wawili kufika walipo leo. Nimewasomesha nikiwa bado mdogo, kwa kujinyima vitu vingi ambavyo pengine ningevifanya kwa ajili yangu mwenyewe. Pesa ambayo ningeweza kutumia kwenye starehe au mambo yangu binafsi...
  3. Namshakende

    JamiiForums Tanzania Members wa JF baadhi wanafiki sana, wanajifanyaga wako sayari nyingine

    Kwa mtazamo wangu, JF ni moja ya mtandao ambayo kwa kiasi kikubwa tunaitumia kupitisha muda na kutoa mawazo kuliko kupata jambo jipya la maana. Mada nyingi zinajirudia, stori ni zilezile na mijadala mingi huishia kwenye mabishano yasiyo na tija. Ukiangalia kwa makini, kuna muda mwingi unaishia...
  4. Namshakende

    JamiiForums Tanzania Hapo mtaani kwako wangapi mnatumia JF?

    Nihuma kuveta, ila nihuya kwa msimu.
  5. Namshakende

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Siasa za Tanzania zimekuwa chafu sana. Hapa hakuna CHADEMA wala CCM, wananchi ndiyo tunabeba mzigo wa siasa zao. Kila upande unajiona una watu wema, lakini ukifuatilia kwa makini, maslahi binafsi yanaonekana kutawala kuliko maslahi ya wananchi. Kwa kifupi, tusidanganyane kwa majina ya vyama...
  6. Namshakende

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali

    Pole sana Mary Diana. Ila wewe mwenyewe ulisema kuna watu wanajipa umuhimu kwenye maisha ya watu. Sasa naona hata tukikusaidia, huenda tukaonekana tunajipendekeza au tunajipa nafasi ambayo hatuna. Tumeheshimu ulichosema, na hatutaki kujilazimisha kwenye maisha ya mtu ambaye tayari ametuonyesha...
  7. Namshakende

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Tusiendelee kubishana naye. Yeye mwenyewe aliwahi kusema ana changamoto ya afya ya akili! Nahisi nina tatizo kubwa la afya ya akili linaninyemelea. Wataalamu wa mambo ya saikolojia naombeni msaada mda sio mrefu nitadata
  8. Namshakende

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Dada, tatizo la hoja yako ni kwamba umechanganya imani na kutokubali kuhojiwa. Kusema “mimi nilipata bure” hakuthibitishi kwamba udongo huo una nguvu ya kiroho. Na kusema “mimi nina imani” hakufanyi kila kinachofanywa madhabahuni kuwa cha kibiblia. Kama kweli unamwamini Mungu, elekeza imani...
  9. Namshakende

    JamiiForums Tanzania Tabia ya baadhi ya wazee kuingilia na kubeza bajeti za vijana wasiooa sehemu za kazi

    Heshima kwenu wakuu. Kuna tabia ambayo nimeiona katika baadhi ya maeneo ya kazi na hata kwenye jamii, na kwa maoni yangu inahitaji kuzungumziwa wazi. Ni tabia ya baadhi ya watu waliotutangulia umri au walio kwenye ndoa kudhani kwamba kijana ambaye hajaoa au kuolewa hana majukumu wala matumizi...
  10. Namshakende

    JamiiForums Tanzania Hapo mtaani kwako wangapi mnatumia JF?

    Mlongo, nihumila ku-songea, Msamala.
  11. Namshakende

    JamiiForums Tanzania Hapo mtaani kwako wangapi mnatumia JF?

    Huku mtaani kwetu tupo watatu tu tunatumia JF, tunatokea kwa Chifu Songea Mbano .@cocastic Mwingine jina nimelisahau!
  12. Namshakende

    JamiiForums Tanzania Bkra siyo certificate ya mke bora

    Kuna wanaume wanaosema “dini inataka mwanaume aoe bikira,” kana kwamba ubikira ni guarantee ya kupata mwanamke bora. Ni lazima tutenganishe fundisho la dini, preference binafsi na character ya mtu. Mwanaume ana haki kabisa kusema anataka bikira. Lakini usifanye preference yako kuwa sheria ya...
  13. Namshakende

    JamiiForums Tanzania Salamu kwa wanawake: mwanaume kumuhudumia mwanamke ni mfumo dume.

    Jamii imewekeza mabilioni ya fedha kwenye Girl Child Empowerment , mashirika, ufadhili wa masomo, fursa za ajira, ujasiriamali na mikopo kwa wanawake. Wakati huohuo, Boy Child mara nyingi anaachwa ajipambanie mwenyewe kwenye ushindani uleule wa maisha. kama jamii imeweka nguvu zote hizo...
  14. Namshakende

    JamiiForums Tanzania Baba amina sipendezwi na hizi hoja

    Sawa mama Amina
Back
Top Bottom