Siasa za Tanzania zimekuwa chafu sana. Hapa hakuna CHADEMA wala CCM, wananchi ndiyo tunabeba mzigo wa siasa zao. Kila upande unajiona una watu wema, lakini ukifuatilia kwa makini, maslahi binafsi yanaonekana kutawala kuliko maslahi ya wananchi.
Kwa kifupi, tusidanganyane kwa majina ya vyama...