Recent content by Namshakende

  1. Namshakende

    Kama umri unaruhusu una afya na uwezo wa kuwajibika ingia kwenye ndoa

    Sitegemei kutoka ndo nipate hela Mkuu, nilishatega mitego ya FEDHA.
  2. Namshakende

    Kama umri unaruhusu una afya na uwezo wa kuwajibika ingia kwenye ndoa

    Nilikuwa miongoni mwa wale Vijana waliokuwa na msimamo wa kukataa ndoa. Leo ninaandika kwa unyenyekevu na toba, nikikiri kuwa nilikosea. Tarehe 22 / Dec/ 2025 nilipata ajali ya bodaboda, tukio lililonifungua macho na kunifanya nijitathmini upya. Kwa sasa hali yangu sio nzuri, mkono...
  3. Namshakende

    Maaskofu nyinyi sio Mungu wetu, Ukweli usemwe mmepotoka tokeni hadharani ombeni msamaha!

    F. A.L wewe, kwani umelazimishwa kuwa mkatoliki? Unawezaje kuongelea AMANI pasipo HAKI?
  4. Namshakende

    Gen Z wanapanga maandamano mapya ya Januari 29

    Itakuwa ndo mwisho wake kuongoza hii nchi
  5. Namshakende

    TFF: Hatuna vazi la taifa ambalo taifa stars lingevaa

    Wangevaa dela za CCM
  6. Namshakende

    Kama UN kupitia Katibu Mkuu wake wamekiri na kusema kuwa Tanzania hakuna tatizo Wewe Mwananchi unapata wapi nguvu ya Kuichafua nchi Kimataifa?

    Unaleta habari bila chanzo, porojo tupu kama za vijiweni. Kila siku ni ushabiki wa kijinga kijinga, hakuna hoja, hakuna mantiki. Umri mkubwa, ndevu zimeshamea, lakini mawazo bado ya darasa la awali. Aisee, kama ni kuandika basi andika kama mtu mzima, si kama mtoto aliyepewa simu kwa mara ya kwanza.
  7. Namshakende

    Hivi ni 98% ya kupendwa au 98% ya kuogopa?

    Why do you keep pretending you care about your citizens when you’re busy blocking their access to every place where they could speak freely? If everything is “so perfect,” why are people forced to use VPNs just to express an opinion? Why shut down the comment sections on all your posts? What are...
Back
Top Bottom