Recent content by namriny

  1. namriny

    JamiiForums Tanzania Msaada ngozi yangu inaharibika na sijui kwanini

    Naomba kujua jinsia,
  2. namriny

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa aliyesoma VETA Chang'ombe Dar es Salaam

    Habari zenu wakuu, nina mdogo wangu amemaliza chuo(degree),2019,ila kutokana kukosekana ajira, anahitaji akasomee kupamba maharusi, na mambo ya saluni ili afungue saluni ajipatie angalau hela. Sasa nauliza ile hapo VETA ya Chang'ombe wanafundisha hayo mambo? Msaada tafadhali.
  3. namriny

    JamiiForums Tanzania Ninataka nirudie mtihani wa Form 4, naomba ushauri wenu

    Kama unajua ulikuwa na uwezo wa kufaulu ila imetokea mtihan wa taifa ukafel, basi usikate tamaa wew rudia, naamini utafankiwa, ila tafuta watu wazur wakusoma nao
  4. namriny

    JamiiForums Tanzania Cuthbert Swai ndani ya mtego wa Lema na Mbowe

    Hadi raisi wa nchi kasema achunguzwe kwa tuhuma ina maana kuna kitu,maana rais n taasisi, acha kutetea ujinga
  5. namriny

    JamiiForums Tanzania Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

    Tanzania Assemblies of God (TAG)
  6. namriny

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke anaweza kumbaka mwanaume?

    Sisi hatubaki, tunatamanisha tuu, alafu unafungua zip mwenyew uwe hutak au unataka
  7. namriny

    JamiiForums Tanzania Tanzania tuamue kubaki na fani ya Ualimu na Udaktari

    Habari, Yaani kitu ambacho nimekiona kwa nchi yetu ya Tanzania, ajira zikitangazwa, utasikia tunaongeza walimu na wataalamu wa afya, ni mara nyingi sana matamko yanakuwa hivi. Sasa ina maana hawajui kama Tanzania kuna watu waliosomea fani mbalimbali, na je, wao hawana haki ya kuajiriwa na...
  8. namriny

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa JF wana akili na upeo mkubwa wa kupambanua mambo kuliko wanaume

    Nkweli kabisa, tupo vizuri
  9. namriny

    JamiiForums Tanzania Kazi naipenda sana ila namna ya kuipata sasa,msaada

    Nmesomea PR(Public Relations?
  10. namriny

    JamiiForums Tanzania Kazi naipenda sana ila namna ya kuipata sasa,msaada

    Tena jaman ,sina chama mm
  11. namriny

    JamiiForums Tanzania Kazi naipenda sana ila namna ya kuipata sasa,msaada

    Ahsante sana, namna ya kupata sasa yaan acha tuu
  12. namriny

    JamiiForums Tanzania Kazi naipenda sana ila namna ya kuipata sasa,msaada

    Siyo kila mdada anatabia hizo, ninajiheshim sana, N kawaida kwa binadam kupenda kitu sana, hata wewe kuna unachokipenda sana
  13. namriny

    JamiiForums Tanzania Kazi naipenda sana ila namna ya kuipata sasa,msaada

    Jaman unaushaur mzuri ,Mungu akubariki sana
  14. namriny

    JamiiForums Tanzania Kazi naipenda sana ila namna ya kuipata sasa,msaada

    Umeona eeh
  15. namriny

    JamiiForums Tanzania Kazi naipenda sana ila namna ya kuipata sasa,msaada

    Jaman mm n msichana na penda sana kufanya kazi ndani ya bunge yaan naipenda hiyo kazi sana, nimekuwa nikifatilia kama kuna kazi zimetangazwa tangu mwaka jana ila naambulia patupu, kwa anaejua basi namna ya kuomba kazi ndani ya bunge letu tukufu, na je, sifa zao ni zipi wanaziangalia,
Back
Top Bottom