Ninataka nirudie mtihani wa Form 4, naomba ushauri wenu

Ninataka nirudie mtihani wa Form 4, naomba ushauri wenu

Habari za leo,

Kama nilivyoelezea hapo juu, nahitaji ushauri wenu. Mimi nimaliza shule Mwaka 2019 lakini matokeo yalikuja mabaya, yaani nilifeli hivyo lengo langu lakutaka kurudia mtihani Mimi shida yangu nataka nifanyie vizuri kabisa.

Naombeni ushilikiano.
Kama unajua ulikuwa na uwezo wa kufaulu ila imetokea mtihan wa taifa ukafel, basi usikate tamaa wew rudia, naamini utafankiwa, ila tafuta watu wazur wakusoma nao
 
Habari za leo,

Kama nilivyoelezea hapo juu, nahitaji ushauri wenu. Mimi nimaliza shule Mwaka 2019 lakini matokeo yalikuja mabaya, yaani nilifeli hivyo lengo langu lakutaka kurudia mtihani Mimi shida yangu nataka nifanyie vizuri kabisa.

Naombeni ushilikiano.
Mh!
 
Wasikutishe mwamba
kama umedhamiria nenda karudie
Ila jieleze, unataka kuvaa uniform tena na kuchapwa viboko na walimu wajinga wajinga?
Au unataka kujisomea mwenyewe, halafu ulipie kufanya mtihani? Na unataka ushauri jinsi gani ujipange katika kujisomea mwenyewe............
Hakuna mwalimu mjinga mjinga shika adabu yako kijana. Bila hao walimu usingelikuwa unaandika matapishi hapa.pumbafuu
 
watu wana madigree na hawana ajira??? mimi nakushauri utafute biashara unayoipenda fanya..unless unataka kufanya mitihani ya form four just to feel a sense of achievement..na sio kwamba unataka kitu cha kukusaidia,..mimi huwaga naelewa mtu anapofeli unabaki na mizungu kichwani unajiuliza why hupati jibu..LOL...roho ina stuck...naelewa unayopitia..lol
 
watu wana madigree na hawana ajira??? mimi nakushauri utafute biashara unayoipenda fanya..unless unataka kufanya mitihani ya form four just to feel a sense of achievement..na sio kwamba unataka kitu cha kukusaidia,..mimi huwaga naelewa mtu anapofeli unabaki na mizungu kichwani unajiuliza why hupati jibu..LOL...roho ina stuck...naelewa unayopitia..lol
Bila Shaka mkuu ushauri wako uko vzr.
 
Back
Top Bottom