Cuthbert Swai ndani ya mtego wa Lema na Mbowe

Cuthbert Swai ndani ya mtego wa Lema na Mbowe

Msameheni tu huyu pimbi kwani huu uzi kaukopi na kuupesti ili na yeye apate vikomenti. Huyu hata kujitetea hamuoni kuwa hawezi? Hamuoni kuwa hata kwenye utetezi wake hajui kuandika vizuri? Huyu ni pimbi tu kaiba hela ya bibi yake kaenda kununulia bando kwenye simu ya dada yake kaja hapa na kopi na pesti kutoka huko. Kwanza hata profile pic yake hamuoni alivyokaa kaa kipimbi? Jf imevamiwa na watoto kutoka Fb!!
Kweli wewe Hauko na Akili unazani FB ya Watoto kama JF ina page FB unasema ya watoto.
Ungekua na Akili tungebishana, ila kwa vile ni matope nakuacha.
 
Hivi Sabaya ni wakusafishwa? Kama amekupa pesa kula. Ila Sabaya ni mjinga. Kwani Tanzania ik na MaDc wangapi? Kwanini yeye?
Ma dc au ma RC wote walioangusha ngome za chedema ni wabaya hilo liko wazi
Hamtawapenda daima.
 
CUTHBERT SWAI NDANI YA MTEGO WA LEMA NA MBOWE

Nitangulize kusema kuwa Mimi nimekuwa ndani ya Chadema kwa Miaka Mingi sana, Nimeshiriki katika Ujenzi wa Chama na kusimamia operesheni kadhaa za Chama ikiwemo Mipango Ovu ya Chama huku ikiratibiwa na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe.

Mbowe ni Kiongozi mwenye kisasi na akidhamiria jambo lake lazima alitimize kwa njia yeyote ile. Wakati Sabaya anateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya pale Hai nilijisemea peke yangu Sabaya anaenda katika vita vya Maisha Yake. Ashinde Aheshimike au Ashindwe na ndoto zake katika Uongozi ziishe. Ila toka Ameteuliwa Mpaka sasa Sabaya ndiye Mshindi anaongoza dhidi ya Mbowe na Sasa Mbowe anataka kulipa Kisasi.

Sasa kisasi kinalipwa kupitia Mfanyabiashara Cuthbert Swai, Huyu Swai namfahamu Miaka Mingi ni Mfanyabiashara ambaye amekisaidia chama cha Chadema sana, Operesheni nyingi za Vijana za kujenga chama zilifadhiliwa na huyu bwana naweza sema ni mmoja wa vijana wenye roho ngumu sana wapo Tayari kumaliza mtu yeyote ili kulinda Maslahi yao. Mbowe, Cuthbert na Lema hawa wote ni Wachaga wa Machame wameungana kupambana na kijana wa Kimasai Lengai Ole Sabaya.

Sasa hivi Sabaya amekua Ajenda ya Chama, Chama sasa kinatumia Akaunti zao za Twiter, Facebook na Istagram huku baadhi ya viongozi waandamizi wafuasi wa Mbowe na Lema kama Twaha Mwaipaja na Kumbusho Dawson wakipokea fungu kutoka kwa Cuthbert ili kuchafua Image ya Sabaya.

Sabaya kuwa Serikalini ni Tatizo kubwa kwa Upinzani wa nchi hii, Kumbuka huyu ndiye amemuangusha Mbowe, Huyu ndiye kafanya Hai imetulia na sio uchochoro wa uhalifu tena, Dawa za kulevya, Noti feki, Uhalifu, Dhuluma sasa haviwezi fanyika tena Hai. Mbowe sasa anataka kulinda Genge lake la wafanyabiashara ambao si rafiki kwa Serikali yetu.

Sasa Cuthbert amesahau Uhuni wake katika Biashara, Dhuluma zake kwa Wapagazi katika Kampuni yake, Dhuluma zake za Ardhi kwa wananchi na Amesahau kuwa hata hapo Jipe anapoishi sasa Ardhi anayokaa inasomeka amepewa na wanakijiji bila kujua Mchezo mchafu anaochezaga wa kujimilikisha Ardhi kwa Kisingizio cha kupewa na wanakijijiji vinajulikana. Aasa kaingizwa kwenye Ngoma ya Mbowe na Lema na yeye anacheza huku akiambiwa ndivyo atasaidika. Nachomwambia Swai yeye anajiitaga Muhuni ila Lema na Mbowe ni Wahuni zaidi yake.

Wacha niwakumbushe jambo, Sabaya Aliteuliwa akitokea Arusha, Na aliteuliwa wakati wa Misukosuko, Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Waandamizi wakimpinga na kumshawishi Rais ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa kuwa Sabaya Hafai, Ni baada ya kuamua kusimama kwa wanyonge na kutetea Maslahi yao ambayo Matajiri walikua wakiwanyonya bila huruma. Sabaya alibaki Peke yake, Bila Chama, Bila wafanyabiashara akabaki na Wananchi wanyonge. Pamoja na kumbambikia Kesi Mwishowe Rais Akamteua Nafasi aliye nayo sass hivi.

Mungu Humuinua katika Nyakati zenye kelele kama hizi, Hii ni ishara tosha kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kutazama file la Sabaya na kutambua Tunu kubwa aliyopata huyu kijana katika kusimamia misingi ya utawala bora na uongozi.

Kijana Mwenzangu Sabaya Huu ni wakati wako, Piga kazi, Usiwajibu wacha sisi tuwajibu hatukubali Wahuni watupangie nani wa kutuongoza.

Pia nishauri Diwani wa Arusha unayelalamika kupigwa na Sabaya mpango wenu unafahamika wewe na hao wafanyabiashara pamoja na kiongozi mmoja wa wilaya moja iliyo ndani ha Mkoa wa Kilimanjaro, Kiongozi huyo anafahamu uwepo wa Sabaya Hai utasababisha Hai iendelee kuongoza katika Ukusanyaji wa Mapato huku yeye akitaka ndiye aongoze kupitia wilaya anayofanya kazi. (Huyo kiongozi namuweka Kiporo)

Mimi kada Mtiifu wa Chama cha Mapinduzi, na Nitasimama katika Misingi ya Chama changu, Nitalinda kiapo changu ndani ya Chama, Nitasema Kweli Daima na Uongo kwangu ni Mwiko.
Huna akili.
May you burn in hell.
 
CUTHBERT SWAI NDANI YA MTEGO WA LEMA NA MBOWE

Nitangulize kusema kuwa Mimi nimekuwa ndani ya Chadema kwa Miaka Mingi sana, Nimeshiriki katika Ujenzi wa Chama na kusimamia operesheni kadhaa za Chama ikiwemo Mipango Ovu ya Chama huku ikiratibiwa na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe.

Mbowe ni Kiongozi mwenye kisasi na akidhamiria jambo lake lazima alitimize kwa njia yeyote ile. Wakati Sabaya anateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya pale Hai nilijisemea peke yangu Sabaya anaenda katika vita vya Maisha Yake. Ashinde Aheshimike au Ashindwe na ndoto zake katika Uongozi ziishe. Ila toka Ameteuliwa Mpaka sasa Sabaya ndiye Mshindi anaongoza dhidi ya Mbowe na Sasa Mbowe anataka kulipa Kisasi.

Sasa kisasi kinalipwa kupitia Mfanyabiashara Cuthbert Swai, Huyu Swai namfahamu Miaka Mingi ni Mfanyabiashara ambaye amekisaidia chama cha Chadema sana, Operesheni nyingi za Vijana za kujenga chama zilifadhiliwa na huyu bwana naweza sema ni mmoja wa vijana wenye roho ngumu sana wapo Tayari kumaliza mtu yeyote ili kulinda Maslahi yao. Mbowe, Cuthbert na Lema hawa wote ni Wachaga wa Machame wameungana kupambana na kijana wa Kimasai Lengai Ole Sabaya.

Sasa hivi Sabaya amekua Ajenda ya Chama, Chama sasa kinatumia Akaunti zao za Twiter, Facebook na Istagram huku baadhi ya viongozi waandamizi wafuasi wa Mbowe na Lema kama Twaha Mwaipaja na Kumbusho Dawson wakipokea fungu kutoka kwa Cuthbert ili kuchafua Image ya Sabaya.

Sabaya kuwa Serikalini ni Tatizo kubwa kwa Upinzani wa nchi hii, Kumbuka huyu ndiye amemuangusha Mbowe, Huyu ndiye kafanya Hai imetulia na sio uchochoro wa uhalifu tena, Dawa za kulevya, Noti feki, Uhalifu, Dhuluma sasa haviwezi fanyika tena Hai. Mbowe sasa anataka kulinda Genge lake la wafanyabiashara ambao si rafiki kwa Serikali yetu.

Sasa Cuthbert amesahau Uhuni wake katika Biashara, Dhuluma zake kwa Wapagazi katika Kampuni yake, Dhuluma zake za Ardhi kwa wananchi na Amesahau kuwa hata hapo Jipe anapoishi sasa Ardhi anayokaa inasomeka amepewa na wanakijiji bila kujua Mchezo mchafu anaochezaga wa kujimilikisha Ardhi kwa Kisingizio cha kupewa na wanakijijiji vinajulikana. Aasa kaingizwa kwenye Ngoma ya Mbowe na Lema na yeye anacheza huku akiambiwa ndivyo atasaidika. Nachomwambia Swai yeye anajiitaga Muhuni ila Lema na Mbowe ni Wahuni zaidi yake.

Wacha niwakumbushe jambo, Sabaya Aliteuliwa akitokea Arusha, Na aliteuliwa wakati wa Misukosuko, Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Waandamizi wakimpinga na kumshawishi Rais ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa kuwa Sabaya Hafai, Ni baada ya kuamua kusimama kwa wanyonge na kutetea Maslahi yao ambayo Matajiri walikua wakiwanyonya bila huruma. Sabaya alibaki Peke yake, Bila Chama, Bila wafanyabiashara akabaki na Wananchi wanyonge. Pamoja na kumbambikia Kesi Mwishowe Rais Akamteua Nafasi aliye nayo sass hivi.

Mungu Humuinua katika Nyakati zenye kelele kama hizi, Hii ni ishara tosha kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kutazama file la Sabaya na kutambua Tunu kubwa aliyopata huyu kijana katika kusimamia misingi ya utawala bora na uongozi.

Kijana Mwenzangu Sabaya Huu ni wakati wako, Piga kazi, Usiwajibu wacha sisi tuwajibu hatukubali Wahuni watupangie nani wa kutuongoza.

Pia nishauri Diwani wa Arusha unayelalamika kupigwa na Sabaya mpango wenu unafahamika wewe na hao wafanyabiashara pamoja na kiongozi mmoja wa wilaya moja iliyo ndani ha Mkoa wa Kilimanjaro, Kiongozi huyo anafahamu uwepo wa Sabaya Hai utasababisha Hai iendelee kuongoza katika Ukusanyaji wa Mapato huku yeye akitaka ndiye aongoze kupitia wilaya anayofanya kazi. (Huyo kiongozi namuweka Kiporo)

Mimi kada Mtiifu wa Chama cha Mapinduzi, na Nitasimama katika Misingi ya Chama changu, Nitalinda kiapo changu ndani ya Chama, Nitasema Kweli Daima na Uongo kwangu ni Mwiko.
KWa andiko lako tu inaonesha ni jinsi gani ulivyo muongo, tena unaongopa KWa kujua , na kuchuma dhambi bila sababu yeyote, Kwani Mbowe Sabaya ndo mkuu wa wilaya pekee Hai amekaa nae , ? WATU wameumizwa mfano Huyo Cuthbert kiuchumi we unaleta hoja za ajabu , Hivi umewai fanya biashara ? Je unafikili kufanya biashara mpaka kutoboa ni KAZI ndogo? Alafu mtu KWa Tamaa za mali na wizi anakuja anakuludisha nyuma ,bora kukaa kimia kuliko ongezea WATU machungu, very shame
 
7baya alikuwa jeuri mpk kwa wakuu zake

Ova
 
CUTHBERT SWAI NDANI YA MTEGO WA LEMA NA MBOWE

Nitangulize kusema kuwa Mimi nimekuwa ndani ya Chadema kwa Miaka Mingi sana, Nimeshiriki katika Ujenzi wa Chama na kusimamia operesheni kadhaa za Chama ikiwemo Mipango Ovu ya Chama huku ikiratibiwa na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe.

Mbowe ni Kiongozi mwenye kisasi na akidhamiria jambo lake lazima alitimize kwa njia yeyote ile. Wakati Sabaya anateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya pale Hai nilijisemea peke yangu Sabaya anaenda katika vita vya Maisha Yake. Ashinde Aheshimike au Ashindwe na ndoto zake katika Uongozi ziishe. Ila toka Ameteuliwa Mpaka sasa Sabaya ndiye Mshindi anaongoza dhidi ya Mbowe na Sasa Mbowe anataka kulipa Kisasi.

Sasa kisasi kinalipwa kupitia Mfanyabiashara Cuthbert Swai, Huyu Swai namfahamu Miaka Mingi ni Mfanyabiashara ambaye amekisaidia chama cha Chadema sana, Operesheni nyingi za Vijana za kujenga chama zilifadhiliwa na huyu bwana naweza sema ni mmoja wa vijana wenye roho ngumu sana wapo Tayari kumaliza mtu yeyote ili kulinda Maslahi yao. Mbowe, Cuthbert na Lema hawa wote ni Wachaga wa Machame wameungana kupambana na kijana wa Kimasai Lengai Ole Sabaya.

Sasa hivi Sabaya amekua Ajenda ya Chama, Chama sasa kinatumia Akaunti zao za Twiter, Facebook na Istagram huku baadhi ya viongozi waandamizi wafuasi wa Mbowe na Lema kama Twaha Mwaipaja na Kumbusho Dawson wakipokea fungu kutoka kwa Cuthbert ili kuchafua Image ya Sabaya.

Sabaya kuwa Serikalini ni Tatizo kubwa kwa Upinzani wa nchi hii, Kumbuka huyu ndiye amemuangusha Mbowe, Huyu ndiye kafanya Hai imetulia na sio uchochoro wa uhalifu tena, Dawa za kulevya, Noti feki, Uhalifu, Dhuluma sasa haviwezi fanyika tena Hai. Mbowe sasa anataka kulinda Genge lake la wafanyabiashara ambao si rafiki kwa Serikali yetu.

Sasa Cuthbert amesahau Uhuni wake katika Biashara, Dhuluma zake kwa Wapagazi katika Kampuni yake, Dhuluma zake za Ardhi kwa wananchi na Amesahau kuwa hata hapo Jipe anapoishi sasa Ardhi anayokaa inasomeka amepewa na wanakijiji bila kujua Mchezo mchafu anaochezaga wa kujimilikisha Ardhi kwa Kisingizio cha kupewa na wanakijijiji vinajulikana. Aasa kaingizwa kwenye Ngoma ya Mbowe na Lema na yeye anacheza huku akiambiwa ndivyo atasaidika. Nachomwambia Swai yeye anajiitaga Muhuni ila Lema na Mbowe ni Wahuni zaidi yake.

Wacha niwakumbushe jambo, Sabaya Aliteuliwa akitokea Arusha, Na aliteuliwa wakati wa Misukosuko, Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Waandamizi wakimpinga na kumshawishi Rais ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa kuwa Sabaya Hafai, Ni baada ya kuamua kusimama kwa wanyonge na kutetea Maslahi yao ambayo Matajiri walikua wakiwanyonya bila huruma. Sabaya alibaki Peke yake, Bila Chama, Bila wafanyabiashara akabaki na Wananchi wanyonge. Pamoja na kumbambikia Kesi Mwishowe Rais Akamteua Nafasi aliye nayo sass hivi.

Mungu Humuinua katika Nyakati zenye kelele kama hizi, Hii ni ishara tosha kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kutazama file la Sabaya na kutambua Tunu kubwa aliyopata huyu kijana katika kusimamia misingi ya utawala bora na uongozi.

Kijana Mwenzangu Sabaya Huu ni wakati wako, Piga kazi, Usiwajibu wacha sisi tuwajibu hatukubali Wahuni watupangie nani wa kutuongoza.

Pia nishauri Diwani wa Arusha unayelalamika kupigwa na Sabaya mpango wenu unafahamika wewe na hao wafanyabiashara pamoja na kiongozi mmoja wa wilaya moja iliyo ndani ha Mkoa wa Kilimanjaro, Kiongozi huyo anafahamu uwepo wa Sabaya Hai utasababisha Hai iendelee kuongoza katika Ukusanyaji wa Mapato huku yeye akitaka ndiye aongoze kupitia wilaya anayofanya kazi. (Huyo kiongozi namuweka Kiporo)

Mimi kada Mtiifu wa Chama cha Mapinduzi, na Nitasimama katika Misingi ya Chama changu, Nitalinda kiapo changu ndani ya Chama, Nitasema Kweli Daima na Uongo kwangu ni Mwiko.
Hadi raisi wa nchi kasema achunguzwe kwa tuhuma ina maana kuna kitu,maana rais n taasisi, acha kutetea ujinga
 
Hivi Sabaya ni wakusafishwa? Kama amekupa pesa kula. Ila Sabaya ni mjinga. Kwani Tanzania ik na MaDc wangapi? Kwanini yeye?
Mbona jibu rahisi Sana..ameleta usumbufu Mkubwa Sana kwenye maslahi ya MWAMBA na wafuasi wake jimboni na Taifa Kwa ujumla..Kwa mfano.. katika kila watu 10 utakaowauliza jina la mkuu wa wilaya hai, 9 watapatia. Na waulize kuhusu DC wa Ngara, 9 watakuuliza Ngara ni Mkoa Gani na mmoja atakwambia hajui.
 
CUTHBERT SWAI NDANI YA MTEGO WA LEMA NA MBOWE

Nitangulize kusema kuwa Mimi nimekuwa ndani ya Chadema kwa Miaka Mingi sana, Nimeshiriki katika Ujenzi wa Chama na kusimamia operesheni kadhaa za Chama ikiwemo Mipango Ovu ya Chama huku ikiratibiwa na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe.

Mbowe ni Kiongozi mwenye kisasi na akidhamiria jambo lake lazima alitimize kwa njia yeyote ile. Wakati Sabaya anateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya pale Hai nilijisemea peke yangu Sabaya anaenda katika vita vya Maisha Yake. Ashinde Aheshimike au Ashindwe na ndoto zake katika Uongozi ziishe. Ila toka Ameteuliwa Mpaka sasa Sabaya ndiye Mshindi anaongoza dhidi ya Mbowe na Sasa Mbowe anataka kulipa Kisasi.

Sasa kisasi kinalipwa kupitia Mfanyabiashara Cuthbert Swai, Huyu Swai namfahamu Miaka Mingi ni Mfanyabiashara ambaye amekisaidia chama cha Chadema sana, Operesheni nyingi za Vijana za kujenga chama zilifadhiliwa na huyu bwana naweza sema ni mmoja wa vijana wenye roho ngumu sana wapo Tayari kumaliza mtu yeyote ili kulinda Maslahi yao. Mbowe, Cuthbert na Lema hawa wote ni Wachaga wa Machame wameungana kupambana na kijana wa Kimasai Lengai Ole Sabaya.

Sasa hivi Sabaya amekua Ajenda ya Chama, Chama sasa kinatumia Akaunti zao za Twiter, Facebook na Istagram huku baadhi ya viongozi waandamizi wafuasi wa Mbowe na Lema kama Twaha Mwaipaja na Kumbusho Dawson wakipokea fungu kutoka kwa Cuthbert ili kuchafua Image ya Sabaya.

Sabaya kuwa Serikalini ni Tatizo kubwa kwa Upinzani wa nchi hii, Kumbuka huyu ndiye amemuangusha Mbowe, Huyu ndiye kafanya Hai imetulia na sio uchochoro wa uhalifu tena, Dawa za kulevya, Noti feki, Uhalifu, Dhuluma sasa haviwezi fanyika tena Hai. Mbowe sasa anataka kulinda Genge lake la wafanyabiashara ambao si rafiki kwa Serikali yetu.

Sasa Cuthbert amesahau Uhuni wake katika Biashara, Dhuluma zake kwa Wapagazi katika Kampuni yake, Dhuluma zake za Ardhi kwa wananchi na Amesahau kuwa hata hapo Jipe anapoishi sasa Ardhi anayokaa inasomeka amepewa na wanakijiji bila kujua Mchezo mchafu anaochezaga wa kujimilikisha Ardhi kwa Kisingizio cha kupewa na wanakijijiji vinajulikana. Aasa kaingizwa kwenye Ngoma ya Mbowe na Lema na yeye anacheza huku akiambiwa ndivyo atasaidika. Nachomwambia Swai yeye anajiitaga Muhuni ila Lema na Mbowe ni Wahuni zaidi yake.

Wacha niwakumbushe jambo, Sabaya Aliteuliwa akitokea Arusha, Na aliteuliwa wakati wa Misukosuko, Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Waandamizi wakimpinga na kumshawishi Rais ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa kuwa Sabaya Hafai, Ni baada ya kuamua kusimama kwa wanyonge na kutetea Maslahi yao ambayo Matajiri walikua wakiwanyonya bila huruma. Sabaya alibaki Peke yake, Bila Chama, Bila wafanyabiashara akabaki na Wananchi wanyonge. Pamoja na kumbambikia Kesi Mwishowe Rais Akamteua Nafasi aliye nayo sass hivi.

Mungu Humuinua katika Nyakati zenye kelele kama hizi, Hii ni ishara tosha kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kutazama file la Sabaya na kutambua Tunu kubwa aliyopata huyu kijana katika kusimamia misingi ya utawala bora na uongozi.

Kijana Mwenzangu Sabaya Huu ni wakati wako, Piga kazi, Usiwajibu wacha sisi tuwajibu hatukubali Wahuni watupangie nani wa kutuongoza.

Pia nishauri Diwani wa Arusha unayelalamika kupigwa na Sabaya mpango wenu unafahamika wewe na hao wafanyabiashara pamoja na kiongozi mmoja wa wilaya moja iliyo ndani ha Mkoa wa Kilimanjaro, Kiongozi huyo anafahamu uwepo wa Sabaya Hai utasababisha Hai iendelee kuongoza katika Ukusanyaji wa Mapato huku yeye akitaka ndiye aongoze kupitia wilaya anayofanya kazi. (Huyo kiongozi namuweka Kiporo)

Mimi kada Mtiifu wa Chama cha Mapinduzi, na Nitasimama katika Misingi ya Chama changu, Nitalinda kiapo changu ndani ya Chama, Nitasema Kweli Daima na Uongo kwangu ni Mwiko.
Tuna ajenda ya kumdai fidia kwa kvunja greenhouse zetu. Jiandae kumsaidia kuzilipia.
 
CUTHBERT SWAI NDANI YA MTEGO WA LEMA NA MBOWE

Nitangulize kusema kuwa Mimi nimekuwa ndani ya Chadema kwa Miaka Mingi sana, Nimeshiriki katika Ujenzi wa Chama na kusimamia operesheni kadhaa za Chama ikiwemo Mipango Ovu ya Chama huku ikiratibiwa na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe.

Mbowe ni Kiongozi mwenye kisasi na akidhamiria jambo lake lazima alitimize kwa njia yeyote ile. Wakati Sabaya anateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya pale Hai nilijisemea peke yangu Sabaya anaenda katika vita vya Maisha Yake. Ashinde Aheshimike au Ashindwe na ndoto zake katika Uongozi ziishe. Ila toka Ameteuliwa Mpaka sasa Sabaya ndiye Mshindi anaongoza dhidi ya Mbowe na Sasa Mbowe anataka kulipa Kisasi.

Sasa kisasi kinalipwa kupitia Mfanyabiashara Cuthbert Swai, Huyu Swai namfahamu Miaka Mingi ni Mfanyabiashara ambaye amekisaidia chama cha Chadema sana, Operesheni nyingi za Vijana za kujenga chama zilifadhiliwa na huyu bwana naweza sema ni mmoja wa vijana wenye roho ngumu sana wapo Tayari kumaliza mtu yeyote ili kulinda Maslahi yao. Mbowe, Cuthbert na Lema hawa wote ni Wachaga wa Machame wameungana kupambana na kijana wa Kimasai Lengai Ole Sabaya.

Sasa hivi Sabaya amekua Ajenda ya Chama, Chama sasa kinatumia Akaunti zao za Twiter, Facebook na Istagram huku baadhi ya viongozi waandamizi wafuasi wa Mbowe na Lema kama Twaha Mwaipaja na Kumbusho Dawson wakipokea fungu kutoka kwa Cuthbert ili kuchafua Image ya Sabaya.

Sabaya kuwa Serikalini ni Tatizo kubwa kwa Upinzani wa nchi hii, Kumbuka huyu ndiye amemuangusha Mbowe, Huyu ndiye kafanya Hai imetulia na sio uchochoro wa uhalifu tena, Dawa za kulevya, Noti feki, Uhalifu, Dhuluma sasa haviwezi fanyika tena Hai. Mbowe sasa anataka kulinda Genge lake la wafanyabiashara ambao si rafiki kwa Serikali yetu.

Sasa Cuthbert amesahau Uhuni wake katika Biashara, Dhuluma zake kwa Wapagazi katika Kampuni yake, Dhuluma zake za Ardhi kwa wananchi na Amesahau kuwa hata hapo Jipe anapoishi sasa Ardhi anayokaa inasomeka amepewa na wanakijiji bila kujua Mchezo mchafu anaochezaga wa kujimilikisha Ardhi kwa Kisingizio cha kupewa na wanakijijiji vinajulikana. Aasa kaingizwa kwenye Ngoma ya Mbowe na Lema na yeye anacheza huku akiambiwa ndivyo atasaidika. Nachomwambia Swai yeye anajiitaga Muhuni ila Lema na Mbowe ni Wahuni zaidi yake.

Wacha niwakumbushe jambo, Sabaya Aliteuliwa akitokea Arusha, Na aliteuliwa wakati wa Misukosuko, Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Waandamizi wakimpinga na kumshawishi Rais ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa kuwa Sabaya Hafai, Ni baada ya kuamua kusimama kwa wanyonge na kutetea Maslahi yao ambayo Matajiri walikua wakiwanyonya bila huruma. Sabaya alibaki Peke yake, Bila Chama, Bila wafanyabiashara akabaki na Wananchi wanyonge. Pamoja na kumbambikia Kesi Mwishowe Rais Akamteua Nafasi aliye nayo sass hivi.

Mungu Humuinua katika Nyakati zenye kelele kama hizi, Hii ni ishara tosha kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kutazama file la Sabaya na kutambua Tunu kubwa aliyopata huyu kijana katika kusimamia misingi ya utawala bora na uongozi.

Kijana Mwenzangu Sabaya Huu ni wakati wako, Piga kazi, Usiwajibu wacha sisi tuwajibu hatukubali Wahuni watupangie nani wa kutuongoza.

Pia nishauri Diwani wa Arusha unayelalamika kupigwa na Sabaya mpango wenu unafahamika wewe na hao wafanyabiashara pamoja na kiongozi mmoja wa wilaya moja iliyo ndani ha Mkoa wa Kilimanjaro, Kiongozi huyo anafahamu uwepo wa Sabaya Hai utasababisha Hai iendelee kuongoza katika Ukusanyaji wa Mapato huku yeye akitaka ndiye aongoze kupitia wilaya anayofanya kazi. (Huyo kiongozi namuweka Kiporo)

Mimi kada Mtiifu wa Chama cha Mapinduzi, na Nitasimama katika Misingi ya Chama changu, Nitalinda kiapo changu ndani ya Chama, Nitasema Kweli Daima na Uongo kwangu ni Mwiko.
Wewe Kasomi, Sabaya ametumbuliwa na mh. Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na siyo Mbowe, Cuthbet Swai wala Lema! Unacho aminisha watu ni kwamba mama SSH, hana akili zake mwenyewe katika kuongoza nchi, anatumiwa na hao wanao taka kulipiza kisasi kunyonga Sabaya!
Ni moja ya dalili za mfumo dume kwa Kumdharau Mazaa kwamba hajui kazi yake, kisa mwanamke! Mwisho unalitumia hilo kama kisasi chako kwa hao jamaa, kama ulikuaga CHADEMA! Pia unadai ulipokua CHADEMA mlipanga maovu?!! Si ukajisalimishe polisi, uwasaidie, wakupeleke kuolewa Segerea, unapo stahili kuwa kwa hayo maovu uliyo panga?! Kisha jamaa akija huko, segerea, ndo yenu itadumu!!
 
Back
Top Bottom