Hii tabia ya kufatilia cm za wake zetu tuacheni jamani italeta vifo visivotarajiwa
Cha kufanya piga chini uyo mwanamke utapata tabu km miezi 2 mpaka 3 mpaka kuja kumsahau uyo mkewo
Pia mtoto ataishi vizuli tu km utamjali usitishike na mtoto angalia afya yako pia kuna uwezekano wa kulea watoto...
Magufuri alikuwa wazili wa ujenzi
Sumaye wazili mkuu
Rowasa wazili mkuu
Lkn anaonekana wazili wa ujenzi mawazili wakuu wa zamani awaonekani kisa chadema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.