Bora usingeandika. Kwa kusoma tu nimeishiwa nguvu. Mungu wa rehema anayetuvumilia kwa haya hakika ana upendo mkuu. N nani angeweza kuacha haya yatokee? Nimekuwa nikijiuliza sana kama ningekuwa kwenye nafasi ya Uungu, je ningeweza kuacha ukatili wa aina hizo ufanyike? La hasha, ningewapiga upofu...
Ni wazi kuwa wale wanaokebehi maneno yake leo hii hawajui kinachoendelea. Ni kuwa kuna mambo yanakwenda chini kwa chini kuhusu uchaguzi huu ambayo wengi hawafahamu. Hii ngoma bado mbichi kabisa, Ukawa wanajua hivyo na viongozi wa juu wa CCM nao wanajua hivyo.
Lakini kama mtu unategemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.