Recent content by namatuhiyetu

  1. N

    Amini ama usiamini Makonda kabla ya 2024 ndiye atakuwa Katibu Mkuu wa CCM

    Hata akiwa Mwenyekiti wa Chama kabisa,je itatusaidia nini sisi Wananchi wanyonge ambao ndugu zetu wamezuiliwa kwenye Mahospitali mbalimbali ya Serikali hapa nchini kwa kushindwa kulipa gharama za matibabu??je itatusaidia nini sisi Wananchi wanyonge ambao Maiti za ndugu zetu zimezuiliwa kwenye...
  2. N

    Dkt. Tulia aitetemesha Mbeya. Atua kijeshi na ndege ya Jeshi

    Hivi unafahamu kuna idadi kubwa ya wagonjwa wanashikiliwa kwenye Mahospitali mbalimbali ya Serikali hapa nchini kwa kushindwa kulipa gharama za matibabu??hivi unafahamu kuna idadi kubwa ya maiti zimezuiwa kwenye mochwali mbalimbali za Serikali nchini kisa ndugu wa Marehemu hao wameshindwa kulipa...
  3. N

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kufungua Akaunti JF ni BURE
  4. N

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  5. N

    Hivi kati ya Ringo na Tin white au Tin white na Mkojani

    kusema kwamba sijawahi kuvutiwa na kazi zao ni kujiona wa kishua!!!naonaga ni too childish ndivyo hivyo,sijakuzuia wewe kucheka mpaka meno yako yote 32 kuwa nje!!!kupanga ni kuchagua
  6. N

    INAUZWA Banda linauzwa

    gawa bure hilo Banda lako acha kutuchosha
  7. N

    Hivi kati ya Ringo na Tin white au Tin white na Mkojani

    Sijuagi hata huwa wanaigizaga nini hawa!!yaani nikiona watu wanacheka maigizo ya hawa jamaa huwa nashangaaga sana!!nikiwa kwenye basi ni heri niweke Earphone masikioni nisikilize hata mapambio
  8. N

    Ni marufuku kufanya biashara ndani ya bus na kufanya mahubiri

    hili haliwezi kuzuilika,katazo lilishawekwa kitambo lakini halijawahi kuwa na impact yoyote
  9. N

    Mwigulu Nchemba alikuwa sahihi, life la Burundi ni tamu sana

    grow up,inaonekana ndio safari yako ya kwanza nje ya Nchi basi udwanzi umekujaa tu,ungefika Dubai huko kwa mfano si JF yote ungeitawala wewe,tangu juzi Burundi Burundi khaaa!!hiyo Burundi yenyewe utakuwa hujaizunguka hata robo theluthi lakini maneno meeengi humu!!!yaani siku mbili tu basi...
  10. N

    Hivi kwa sisi ambao ni wafupi, futi 03 tunaweza pata Mwanamke mrefu akatuelewa?

    Ulishanunua Kitanda na Godoro used kijana mwenye Degree Moja??tuanzie hapo kwanza
  11. N

    Hivi inakuaje hajui Kingereza hata Cha kujielezea.??!

    Ulishanunua Kitanda na Godoro used kwanza kabla ya kuringa na kujua kwako Kingereza??
  12. N

    Zipi sifa za kijana wa hovyo?

    Kijana wa hovyo ni yule anayejisifu mfano anajisifu ana Degree halafu kesho anaweka Tangazo anahitaji kununua Vyombo vya ndani used mfano Godoro,Kitanda,Sufuria nk,huyo kwangu ni Kijana wa ovyo tu
  13. N

    MV Bukoba ilipozama nilikuwa mdogo, nilihuzunika sana

    Darasa la pili daaah,nilikuwa Form Four,JF tupo na watoto wetu humu,halafu wanajifanyaga wajuaji hatari
  14. N

    namba ya NIDA kutumika kusajili line nyingi bila muhusika kujua kinachoendelea.

    Anapokusajilia line anakwambia Network inasumbua rudia kuweka Finger Print,utarudia kuweka Finger Print hata mara 3 au 5 ndio anakwambia imekubali,kumbe zile mara nyingine zote alizokuwa anakwambia inakataa ilikuwa inakubali vizuri tu,kisha hizo line anaenda kuziuza
  15. N

    Gari hii hapa bureeereee utachangia hela ya shukran ya soda kidogo tu

    Na rangi mpya kabisa haijarudiwa,isipokuwa hizo tairi hapo naona kipara[emoji1787][emoji1787]
Back
Top Bottom