Ameuliza yanatengenezwa kwa kutumia nini,maana yake anataka kujua malighafi yapi yanatumika? Sio yanatengenezwa kwa nini?? Inaonyesha ulikiwa darasani unauwezo wa kujibu maswali yote ila bado ulikuwa unapata ZERO tu...tena Zero negative.
Sijawahi fikiria kama wabongo wanaweza kumvua nguo Mtu huku wakiwa wote wawili wanacheka yaani mvuaji na mvuliwaji....
You're so smart ila sio smart Kitochi.
You have masters of Public confusion.
Wadau,Matumizi ya simu na maujajanja yake yametofautiana sana yaani wengine wako Form Six wengine Diploma na wengine PhD, hasa linapokuja suala la Smart phone.
Mfano LIVE FOOTBALL TV kwangu ni app ambayo ukiwa nayo tu unaweza kucheki soka hata kama uko kwenye Daladala na Mambo yakaenda sawa...
Kumekuwa na desturi pale viongozi wa kisiasa wanapohitaji kuongea na wananchi mbalimbali hasa katika kaguzi za Miradi mbalimbali ya maendeleo kutumia nyimbo za Kampeni kutumbuiza wananchi hali ya kuwa muda wake umeshaisha na wananchi wanaohudhuria huwa ni wa vyama mbalimbali.
Je, ni sahihi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.