Siasa Basi
JF-Expert Member
- Jul 10, 2016
- 1,493
- 4,276
Mara ya mwisho kufika Chato ilikuwa mwaka 2007, ni kipindi kirefu kimepita sijakwenda huko. Nimezaliwa na kusomea Butiama Mkoani mara. Wazazi wangu wanaishi huko kabla ya kusogea kijiji cha jirani cha Muriaza.
Nimefikiria na hatimaye nimechukua maamuzi ya kuwahamisha wazazi wangu na kuwajengea makazi mapya Chato. Butiama pamoja na hicho kijiji cha jirani yake ni duni sana, barabara mbovu, huduma za afya mbovu, lakini Chato kila kitu kipo.
Natoka Dar nakwenda kwa ndege mpaka nyumbani Chato, barabara nzuri mpaka taa za barabarani, huduma za afya nzuri na mambo mengine . Kwa sasa Chato haishikiki.
Wenyeji wa Chato naweza pata heka moja kwa bei gani huko, isiwe ndani saana, nataka hapo karibu na Chato airport au karibu na hospital kubwa ya rufaa kanda ya Chato, au pale na karibu na maeneo ya Chuo cha Veta Chato, ikishindikana sana hata hapo Chato tower sio mbaya. Nataka wazee wangu wafie pazuri.
Nimefikiria na hatimaye nimechukua maamuzi ya kuwahamisha wazazi wangu na kuwajengea makazi mapya Chato. Butiama pamoja na hicho kijiji cha jirani yake ni duni sana, barabara mbovu, huduma za afya mbovu, lakini Chato kila kitu kipo.
Natoka Dar nakwenda kwa ndege mpaka nyumbani Chato, barabara nzuri mpaka taa za barabarani, huduma za afya nzuri na mambo mengine . Kwa sasa Chato haishikiki.
Wenyeji wa Chato naweza pata heka moja kwa bei gani huko, isiwe ndani saana, nataka hapo karibu na Chato airport au karibu na hospital kubwa ya rufaa kanda ya Chato, au pale na karibu na maeneo ya Chuo cha Veta Chato, ikishindikana sana hata hapo Chato tower sio mbaya. Nataka wazee wangu wafie pazuri.