kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Ni siku kadhaa sasa clouds Tv haionekani kwenye kingamuzi za Azam. Wenyewe wapo kimya hakuna updates wala taarifa yoyote kama kuna tatizo ama lah. Sio kawaida kwa Tv station kama Clouds kua na kimya cha namna hii.
Ilitegemewa baada ya Wasafi Tv kufungiwa wao wangejitahidi kuteka soko ila inaokenana ndo wanazidi kutumbukia shimoni.
Kunani kule Clouds?
Ilitegemewa baada ya Wasafi Tv kufungiwa wao wangejitahidi kuteka soko ila inaokenana ndo wanazidi kutumbukia shimoni.
Kunani kule Clouds?