siyo tu kiduku, vinywele vichafu vimejaa vumbi vimesokotwa, sijui ndo wanaita kiduku msokoto na kisuruali kina matobo magotini na mapajani, baadhi ya boda wapuuzi sana asee.
na je vp ukipima kipimo kikaleta mstari mmoja ila baada ya masaa 4 kikabadilika na kuleta mistari 2 hapo inakuwaje, kwani kipimo kinatoa majibu sahihi baada dk ngapi wadau?
Sent using Jamii Forums mobile app
angalau wawe kama mwanza vile, maana Mwanza kuna stand mbili, mabasi ya yanayotokea mkoa wa Mara, Kenya na sehemu ya mkoa wa Simiyu yanyewe huishia Buzuruga stand isipokuwa yale yanayopitiliza huenda mpaka nyegezi terminal, na mabasi yanayotoka kanda karibu zote za nchi na Uganda kule husimama...
Pole sana ndugu na hongera kwa kupambana mpaka hapo ulipokia Mungu wa Mbinguni ni mwema sana azidi kukulinda na kukujalia maisha marefu yenye upendo, mafanikio na baraka tele.
Ila ndugu umenipa ka elimu kumbe ndizi mbivu ni dawa ya presha ya mimba!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.