Toka niache kubet mpira wa miguu na kukimbilia kwenye Basketball angalau na kunenepa nimenenepa maana haipiti siku lazima nile,kwa siku natengeneza mikeka 10 (ya timu moja 6 na 4 ya timu mbilimbili),kila mkeka naweka 50,000,mambo matamu kabisa kwenye Basketball, sijui kwa nini nilipoteza muda...
Huyu jamaa ni mpuuzi sana,baada ya kukamilisha zoezi zima maisha yaliendelea kama kawaida ingawa alitakiwa kuripoti kituoni mara moja kwa wiki wakati upelelezi unaendelea,baada ya wiki kadhaa kupita alivyo poyoyo akachukua simu ya marehemu mkewe na kutoa simcard kisha kuiweka kwenye simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.