Benson Mramba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 766
- 1,884
Zitto alipambana na Mbowe ambaye hakuwa na vyombo tena ni fisadi na viongozi na wanachama wote wa CHADEMA tulikuwa tunajua hivyo lakini hakufanikiwa na almanusara apotee kisiasa.
Sasa Membe na wenzie wanapambana na Magufuli "Rais " wataweza wapi? Wanataka kuharibu career yao buree!
Zitto washauri vizuri wenzio
Sasa Membe na wenzie wanapambana na Magufuli "Rais " wataweza wapi? Wanataka kuharibu career yao buree!
Zitto washauri vizuri wenzio