Zitto mfundishe Membe changamoto ya kupambana na Watawala

Zitto mfundishe Membe changamoto ya kupambana na Watawala

Benson Mramba

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2013
Posts
766
Reaction score
1,884
Zitto alipambana na Mbowe ambaye hakuwa na vyombo tena ni fisadi na viongozi na wanachama wote wa CHADEMA tulikuwa tunajua hivyo lakini hakufanikiwa na almanusara apotee kisiasa.

Sasa Membe na wenzie wanapambana na Magufuli "Rais " wataweza wapi? Wanataka kuharibu career yao buree!

Zitto washauri vizuri wenzio
 
Gifted Fool,
Certified fool of 2019,Sio kila unalowasha Unaandika hapa Jf

Hivi huna idea nyingine zaidi ya kufikiria Mbowe, Naona unalala unamuota Mbowe si ukaombe awe Baba yako, Achepuke na aliyekuz..... Nadhani umeelewa

Nimekuteua kuwa Mkuu wa wilaya ya Nanjilinji kutokana na kumuwaza Mbowe kila siku
Zitto alipambana na Mbowe ambaye hakuwa na vyombo tena ni fisadi na viongozi na wanachama wote wa CHADEMA tulikuwa tunajua hivyo lakini hakufanikiwa na almanusara apotee kisiasa.

Sasa Membe na wenzie wanapambana na Magufuli "Rais " wataweza wapi? Wanataka kuharibu career yao buree!

Zitto washauri vizuri wenzio
 
Gifted Fool,
Certified fool of 2019,Sio kila unalowasha Unaandika hapa Jf
Hivi huna idea nyingine zaidi ya kufikiria Mbowe, Naona unalala unamuota Mbowe si ukaombe awe Baba yako, Achepuke na aliyekuz..... Nadhani umeelewa
Nimekuteua kuwa Mkuu wa wilaya ya Nanjilinji kutokana na kumuwaza Mbowe kila siku
He is wasted too high and he can never be sober.
 
Choko lingine hili!!!licha ya kujipendekeza kwa watawala kila kukicha lakini hata U-DAS tu halijakumbukwa!!!uza makalio hayo sasa pengine utakumbukwa
Kuna michezo haihitaji hasira, na siasa ni mmoja wapo la sivyo stress na vidonda vya tumbo vitakuhusu.
 
Zitto alipambana na Mbowe ambaye hakuwa na vyombo tena ni fisadi na viongozi na wanachama wote wa CHADEMA tulikuwa tunajua hivyo lakini hakufanikiwa na almanusara apotee kisiasa.

Sasa Membe na wenzie wanapambana na Magufuli "Rais " wataweza wapi? Wanataka kuharibu career yao buree!

Zitto washauri vizuri wenzio
Utasugua sana bench hapo Lumumba. Rekodi yako ya wizi uliofanya huku Chadema itakutafuna mpaka mwisho wa dunia. Na kosa lingine ni kuwa ulijipeleka.mwenyewe huko.
 
Zitto alipambana na Mbowe ambaye hakuwa na vyombo tena ni fisadi na viongozi na wanachama wote wa CHADEMA tulikuwa tunajua hivyo lakini hakufanikiwa na almanusara apotee kisiasa.

Sasa Membe na wenzie wanapambana na Magufuli "Rais " wataweza wapi? Wanataka kuharibu career yao buree!

Zitto washauri vizuri wenzio
Umesahau kuweka namba ya simu kwa ajili ya uteuzi.
 
Zitto alipambana na Mbowe ambaye hakuwa na vyombo tena ni fisadi na viongozi na wanachama wote wa CHADEMA tulikuwa tunajua hivyo lakini hakufanikiwa na almanusara apotee kisiasa.

Sasa Membe na wenzie wanapambana na Magufuli "Rais " wataweza wapi? Wanataka kuharibu career yao buree!

Zitto washauri vizuri wenzio
Mchelemchele...... Weeee

Ova
 
Zitto alipambana na Mbowe ambaye hakuwa na vyombo tena ni fisadi na viongozi na wanachama wote wa CHADEMA tulikuwa tunajua hivyo lakini hakufanikiwa na almanusara apotee kisiasa.

Sasa Membe na wenzie wanapambana na Magufuli "Rais " wataweza wapi? Wanataka kuharibu career yao buree!

Zitto washauri vizuri wenzio

Oya njoo ujazie nyama na ujitutumue huku sio unaanzisha uzi alafu uko online utaki kujibu comment za vidume huku basi kama unaogopa si ufute tu mkuu ushauri wa bure
 
Mbona humuambii Jiwe? Muambie aache hasira kila mara atasingizia anaenda mapumziko kumbe anaumwa!!
Kuna michezo haihitaji hasira, na siasa ni mmoja wapo la sivyo stress na vidonda vya tumbo vitakuhusu.
 
Zitto alipambana na Mbowe ambaye hakuwa na vyombo tena ni fisadi na viongozi na wanachama wote wa CHADEMA tulikuwa tunajua hivyo lakini hakufanikiwa na almanusara apotee kisiasa.

Sasa Membe na wenzie wanapambana na Magufuli "Rais " wataweza wapi? Wanataka kuharibu career yao buree!

Zitto washauri vizuri wenzio
Swadakta!,alivyokua karibu na Jakaya mshikaji wake anachukulia simple,muache ajae vizuri
 
Zitto alipambana na Mbowe ambaye hakuwa na vyombo tena ni fisadi na viongozi na wanachama wote wa CHADEMA tulikuwa tunajua hivyo lakini hakufanikiwa na almanusara apotee kisiasa.

Sasa Membe na wenzie wanapambana na Magufuli "Rais " wataweza wapi? Wanataka kuharibu career yao buree!

Zitto washauri vizuri wenzio
Kuna nafaşi ya u_DAS kazàna ùpate
 
Back
Top Bottom