Recent content by nakowisia

  1. nakowisia

    Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Mkuu una aina ya kuchi kuchi....!
  2. nakowisia

    Search for Utouh successor begins

    Dr assad ni jembe na anafaa kbs katika hiyo nafasi tena hata zaid ya anaetoka...ila sasa akichanganya siasa kwenye taaluma yake atajiharibia sana ground na heshima alioijenga hasa kwa wanaomfahamu kuanzia UDSM .ni nzuri sana
  3. nakowisia

    CPA Module F, Notes, Past Exams and Books- ACCA Materials

    Dah...!real thanks mate .ubarikiwe sana na uwe na moyo huuu mpk mwisho.thanks
  4. nakowisia

    Lukuvi: Tumetenga milioni 80 kununua gari aina ya RAV4

    Kama report ya CAG inaonyesha tu tkt za ndege zimezidishwa mara 16 na bado mawaziri husika bado hawajawajibishwa ....na bado wananchi tunawaangalia tu!!!nchi hii bwana
  5. nakowisia

    Baada ya UKAWA kutoka nje,umeona tofauti ipi Bungeni ?

    Nasikitika sana kuona mzee wetu warioba akikashifiwa na elimu yake kisa hakufanya yale wanayotaka wana ccm. Akili ya kawaida tu ...wajumbe waliba hati muda mwingi ila baada ya karaa na matusi ndo inatolewa .tulitakiwa kufikia hapa nchi inayosema ina aman na utawala bora pamja na uwazi. Tujifunze...
  6. nakowisia

    JK: Sikuidhalilisha Tume ya Warioba

    Kwani mkuu alichaguliwa kwa kura ngapi kati ya watanzania .je hapk hakuona haja ya kuangalia sampling .....!tuwe fair kwa mambo ya muhimu
  7. nakowisia

    Mwongozo wa ufugaji wa kisasa wa Mbuzi wa nyama na maziwa

    Nashukur kwa kunipa ufahamu wa ufugaji huu wa mbuzi Kama ungeweza saidia contact ingependeza ili na sisi tuweza kufuatilia !
  8. nakowisia

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi tarehe 27 Machi, 2014 - Uwasilishaji wa kanuni za Bunge

    Hivi mbona rais na chaguzi nyingine zote zinaamuliwa na kura ya siri...!kuna nn hapa mnataka kura ya wazi.hebu tuwe optimistic basi
  9. nakowisia

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    Kwa wale wasioeleqa basi tena .rais kawa wazi kazi imebaki kwa wajumbe sasa
Back
Top Bottom