hivi bado una imani na blandina nyoni?
Mkuu....umeongea swala la msingi sana....CAG sio position ya kisiasa..inahitaji taalum...Assad ni mzuri kama mwalimu..ila kiukweli hawezi kua na Experience kama ya Mapatner wa Auditing firms ..kwa Mfano Bwana Mndolwa, na wengine wengi walioko kwenye mashirika ya ukaguzi( Either ya nje au ya wazawa)...
Iko haja ya kufika pahala na kukubali kwamba kuna academicians na kuna proffessionals eg Auditors.
Napenda kutanguliza kwamba Watajwa wote hapo juu ni wazuri either as academicians or wanasiasa..ila kwenye UCAG sidhani.