Kuna kitu kinaitwa FOMO (fear of missing out) wakimaliza training tu, ontario anawabadilishia game to cryptocurency.. h ahahah. Kila mtu anahamia huko..
Mimi nemetrade forex kwa kama miezi Sita na nlikua nafanya part time. Nilikua napata pesa ya kulipia ki apartment changu.. didn't fully go into it. Lakini I took time to learn about it. Kua tend hiyo course for 2 to 3 hours haitatosha ila Kuna vitabu online na videos on YouTube on how to trade...
Nirekebishe kidogo tu, Marekani hawatutegemei kiuchumi. Hatuna resource ambayo tunayo sisi tu na mmarekani Hana for the next 50 years.. mmarekani Ana mafuta kuliko mwarabu anaechimba.. hatuuzi hatununui kwa mmarekani.. huyu Jamaa hajui impact ya kauli zake ..
Huyo baba yenu namjua, si Mkali Mkali hivi hashauriki? Namjua Bana, Kuna kipindi maza wenu alitaka kusepa sababu ya tabia Za mshua wenu hasa kutokufata ushauri, mshua alivyokauzu akasema asepe tu? Si ndo huyo alitakaga muhame muamie kijijini zaidi ya hapo? Namjua aisee..
Article: We need to have a frank discussion about marriage
We need to have a frank discussion about marriage | Tauriq Moosa | Comment is free | theguardian.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.